Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,068
Mara nyingi Jeshi la polisi linashutumiwa kwa mambo mbalimbali hasa uonevu na kutumia nguvu zisizo za lazima!
Leo nimeona taarifa ya habari itv,kulikuwa na msako wa watu wanaotengeneza bidhaa feki!Nilichoshangaa ni kitendo cha polisi mwanamke kuanza kumchapa makofi binti ambaye tayari alikuwa amesurrender!Yaani mtuhumiwa tayari umemuweka chini ya ulinzi na wala hajaresist halafu unaanza kumpa kipigo! Kama jeshi linashindwa kufuata sheria tena hadharani,wanatoa picha gani kwa wananchi?
Jeshi ndio ambalo linatakiwa lisimamie sheria ndio linavunja sheria tena hadharani?Polisi ana mamlaka ya kumpiga mtu hata kama ni mhalifu akiwa chini ya ulinzi?shame
Cc Mwigulu Nchemba
Leo nimeona taarifa ya habari itv,kulikuwa na msako wa watu wanaotengeneza bidhaa feki!Nilichoshangaa ni kitendo cha polisi mwanamke kuanza kumchapa makofi binti ambaye tayari alikuwa amesurrender!Yaani mtuhumiwa tayari umemuweka chini ya ulinzi na wala hajaresist halafu unaanza kumpa kipigo! Kama jeshi linashindwa kufuata sheria tena hadharani,wanatoa picha gani kwa wananchi?
Jeshi ndio ambalo linatakiwa lisimamie sheria ndio linavunja sheria tena hadharani?Polisi ana mamlaka ya kumpiga mtu hata kama ni mhalifu akiwa chini ya ulinzi?shame
Cc Mwigulu Nchemba