simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Katika mahafali ya kwanza Chuo Kikuu Cha Dodoma 2010. Aliye kuwa mgeni Rasm Ndugu J.K Aliwaasa wanafunzi vyuoni kuachana na Siasa
Jambo hili pia limekuwa likivaliwa njuga na viongozi wa serikali ya CCM, hata Spika wetu amekuwa akionya mara kwa mara kuwa vijana wasome kwanza Leo waliojiita vijana wa CCM WA VYUO VIKUU walioandamana eti kuunga maamuzi ya CC YA CCM nakutaka viongozi walio tajwa kuhusika na ufisadi wasipewe vyeo vingine badala yake wakaozee gerezani!
Msema kweli mpenzi wa Mungu Kwa mujibu wa polisi taarifa ya maandamano hutolewa kabla ya siku 3. Maamuz ya cc ya ccm yalitoka ijumaa maandamano yamefanyika jumapili. Hivi kweli utaratibu wa Maandamano ulifuatwa na hawa wanaojiita wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa CCM.
Nasema jeshi la polisi acheni kudhihirisha udhaifu wenu wakuitumikia CCM Hadharani. Wangekuwa vijana wa Vyuo vikuu wa CHADEMA Maandamano yao yangeitwa batili na wangeishia kupigwa virungu na Mabomu ya machozi Wangekuwa wa CHADEMA leo kingenuka Daa na tungesikia hawa viongozi wa CCM wakiwabeza kuwa waachane na siasa
Jambo hili pia limekuwa likivaliwa njuga na viongozi wa serikali ya CCM, hata Spika wetu amekuwa akionya mara kwa mara kuwa vijana wasome kwanza Leo waliojiita vijana wa CCM WA VYUO VIKUU walioandamana eti kuunga maamuzi ya CC YA CCM nakutaka viongozi walio tajwa kuhusika na ufisadi wasipewe vyeo vingine badala yake wakaozee gerezani!
Msema kweli mpenzi wa Mungu Kwa mujibu wa polisi taarifa ya maandamano hutolewa kabla ya siku 3. Maamuz ya cc ya ccm yalitoka ijumaa maandamano yamefanyika jumapili. Hivi kweli utaratibu wa Maandamano ulifuatwa na hawa wanaojiita wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa CCM.
Nasema jeshi la polisi acheni kudhihirisha udhaifu wenu wakuitumikia CCM Hadharani. Wangekuwa vijana wa Vyuo vikuu wa CHADEMA Maandamano yao yangeitwa batili na wangeishia kupigwa virungu na Mabomu ya machozi Wangekuwa wa CHADEMA leo kingenuka Daa na tungesikia hawa viongozi wa CCM wakiwabeza kuwa waachane na siasa