Jeshi la Polisi, kutumia Telegram kwenye zama hizi maana yake ni nini?

SPY CATCHER

JF-Expert Member
Mar 7, 2015
285
186
Leo wametoa statement kuwa watu wanatumia mitandao ya TELEGRAM....

Jeshi la police kudhani kuwa watu bado wanatumia TELEGRAM kwenye karne hii inatuaminisha kuwa Jeshi letu na kama walivyo watawala wetu wako dunia nyingine na sisi wananchi wa kawaida

Hii ndio nchi inayojisifu kuwa ina uchumi wa VIWANDA (bila umeme of course). Naona hakukuwa na haha ya kupiga sana kelele kuhusu hiyo so called CYBER CRIME ACT kwa sababu hawa watawala na watu wa law enforcement bado wake kwenye stone age wakati wananchi wake kwenye Twitter.

Kichekesho lakini you get the picture ya watawala wetu na thinking zao
 
Leo wametoa statement kuwa watu wanatumia mitandao ya TELEGRAM....

Jeshi la police kudhani kuwa watu bado wanatumia TELEGRAM kwenye karne hii inatuaminisha kuwa Jeshi letu na kama walivyo watawala wetu wako dunia nyingine na sisi wananchi wa kawaida

Hii ndio nchi inayojisifu kuwa ina uchumi wa VIWANDA (bila umeme of course). Naona hakukuwa na haha ya kupiga sana kelele kuhusu hiyo so called CYBER CRIME ACT kwa sababu hawa watawala na watu wa law enforcement bado wake kwenye stone age wakati wananchi wake kwenye Twitter.

Kichekesho lakini you get the picture ya watawala wetu na thinking zao
Hawaongelei hiyo telegram unayoijua wewe
 
nipe shule
Kama unatumia smartphone ingia play store Na search hiyo Telegram. Itakuja Na utainstall ktk simu yako. Baada ya hapo unafanya usajili kama ilivyo katika WhatsApp kwa kuweka namba unayoihitaji huko kuisajili. Ukikamilisha usajili basi namba zilizo katika phone book yako Na zimesajiliwa telegram utaziona. Kisha mambo mengine ni kama WhatsApp tu.!
 
Leo wametoa statement kuwa watu wanatumia mitandao ya TELEGRAM....

Jeshi la police kudhani kuwa watu bado wanatumia TELEGRAM kwenye karne hii inatuaminisha kuwa Jeshi letu na kama walivyo watawala wetu wako dunia nyingine na sisi wananchi wa kawaida

Hii ndio nchi inayojisifu kuwa ina uchumi wa VIWANDA (bila umeme of course). Naona hakukuwa na haha ya kupiga sana kelele kuhusu hiyo so called CYBER CRIME ACT kwa sababu hawa watawala na watu wa law enforcement bado wake kwenye stone age wakati wananchi wake kwenye Twitter.

Kichekesho lakini you get the picture ya watawala wetu na thinking zao

Polisi wanatumia mitandao ya Facebook na Twitter.

Unafahamu kwanini wanatumia telegram?
 
Kama unatumia smartphone ingia play store Na search hiyo Telegram. Itakuja Na utainstall ktk simu yako. Baada ya hapo unafanya usajili kama ilivyo katika WhatsApp kwa kuweka namba unayoihitaji huko kuisajili. Ukikamilisha usajili basi namba zilizo katika phone book yako Na zimesajiliwa telegram utaziona. Kisha mambo mengine ni kama WhatsApp tu.!
Telegram ni zaidi ya whatsapp ukimkuta mkeo au mumeo anatumia Telegram ongeza mbwa Telegram sifa yake ni usiri mfano ujumbe naokutumia miye nikiufuta uku na kwako unafutika sifa nyingine katika Telegram mtu akikuadd katika group basi na wewe unaweza muadd mtu mwingine si lazima admin amuad uyo mtu sifa nyingine ya Telegram miye naweza kuwa group moja na wewe ila ni ngumu wewe kujua namba yangu ya sim tofauti na magroup ya whatsapp ambapo katika group unaweza mfuata mtu private katika Telegram hiyo kitu haipo Telegram inausiri mkubwa sana Now days wanaenda na wakati hususani masuala haya ya mitandao ya kijamii wengi wanatumia Telegram not whatsapp kwani Telegram ina usiri kamwe na katu hutokuja kusikia furani kashakiwa kwa uchochezi alioufanya kwenye group la Telegram vile vile ni app inayopendwa sana na watu wenye tabia ya michepuko
 
Telegram ni zaidi ya whatsapp ukimkuta mkeo au mumeo anatumia Telegram ongeza mbwa Telegram sifa yake ni usiri mfano ujumbe naokutumia miye nikiufuta uku na kwako unafutika sifa nyingine katika Telegram mtu akikuadd katika group basi na wewe unaweza muadd mtu mwingine si lazima admin amuad uyo mtu sifa nyingine ya Telegram miye naweza kuwa group moja na wewe ila ni ngumu wewe kujua namba yangu ya sim tofauti na magroup ya whatsapp ambapo katika group unaweza mfuata mtu private katika Telegram hiyo kitu haipo Telegram inausiri mkubwa sana Now days wanaenda na wakati hususani masuala haya ya mitandao ya kijamii wengi wanatumia Telegram not whatsapp kwani Telegram ina usiri kamwe na katu hutokuja kusikia furani kashakiwa kwa uchochezi alioufanya kwenye group la Telegram vile vile ni app inayopendwa sana na watu wenye tabia ya michepuko
Kweli telegram ina usiri sana
 
Jamani huyo mleta mada sio mshamba, haya mambo ya mtandao lazima ueleweshwe, mfano ukisema neno MIPIRA kwa mfano, kila moja atafikiria kadri ya uelewa wake hadi muusika aseme alikuwa ana maanisha mipira upi, wa gari? Wakucheza wakuvaa, nk
 
Vijana wa dot com hawaelewi telegram inayozungumziwa
A telegram is a message sent by a telegraph, which is also called a wire. Over time, there have been many means of communicating, such as messenger pigeon, telephone, text message, letter, and email. Another is the telegram, which is a message sent by a telegraph
 
Jamani huyo mleta mada sio mshamba, haya mambo ya mtandao lazima ueleweshwe, mfano ukisema neno MIPIRA kwa mfano, kila moja atafikiria kadri ya uelewa wake hadi muusika aseme alikuwa ana maanisha mipira upi, wa gari? Wakucheza wakuvaa, nk
kama mimi nimefikiria mpira wa pichu
 
Leo wametoa statement kuwa watu wanatumia mitandao ya TELEGRAM....

Jeshi la police kudhani kuwa watu bado wanatumia TELEGRAM kwenye karne hii inatuaminisha kuwa Jeshi letu na kama walivyo watawala wetu wako dunia nyingine na sisi wananchi wa kawaida

Hii ndio nchi inayojisifu kuwa ina uchumi wa VIWANDA (bila umeme of course). Naona hakukuwa na haha ya kupiga sana kelele kuhusu hiyo so called CYBER CRIME ACT kwa sababu hawa watawala na watu wa law enforcement bado wake kwenye stone age wakati wananchi wake kwenye Twitter.

Kichekesho lakini you get the picture ya watawala wetu na thinking zao
Mkuu ungeuliza kwanza.
 
Back
Top Bottom