EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,559
- 12,682
Samahani baadhiSio wote mafala
Samahani baadhiSio wote mafala
Jeshi la Polisi nchini limejipa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyotokea kwenye daraja la selander, ambapo mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, aliwafyatulia risasi askari wawili na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA na kuwaua wote na askari wengine kadhaa kujeruhiwa na hatimaye yeye mwenyewe kuuawa na askari waliokuwa wakilinda doria eneo hilo
Kuna hadithi nyingi zinazosemwa semwa kuhusu nia ya huyo kijana aliyewafyatulia risasi askari hao.
Kuna wengine wanadai kuwa huyo kijana alikuwa analipiza kisasi kwa askari hao, baada ya kumdhulumu dhahabu zake ambazo alikuwa akiziuza.
Hebu tujiulize hivi hawa hawa Polisi watatoa ripoti bila kuuficha ukweli, hata kama ripoti hiyo itasema chanzo cha mauaji hayo ni wao Polisi kufanya dhuluma hiyo ya kumpora dhahabu zake huyo kijana??
Hata ukiangalia mazingira ya mauaji hayo, kwa huyo kijana kuwa-target maaskari watupu na kuwaacha raia, inadhibitisha tetesi hizo.
Ni kwanini basi isiundwe Tume huru ya kuchunguza chanzo cha mauaji hayo, Tume hiyo ihusishe na wataalam wengine kwa mfano majaji wastaafu, wanasiasa maarufu toka kwenye vyama vya siasa, na kadhalika na kadhalika.
Ninavyoona Mimi, kuunda Tume ya uchunguzi, ya maaskari watupu, ni sawaswa na kesi ya nyani kumpa ngedere!
Ni dhahiri hapo hata hayo matokeo ya uchunguzi wa Tume hiyo unaweza kuyabashiri
Hamza analituhumu Jeshi la Polisi iweje Polisi ndio wafanye UchunguziJeshi la Polisi nchini limejipa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyotokea kwenye daraja la selander, ambapo mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, aliwafyatulia risasi askari wawili na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA na kuwaua wote na askari wengine kadhaa kujeruhiwa na hatimaye yeye mwenyewe kuuawa na askari waliokuwa wakilinda doria eneo hilo
Kuna hadithi nyingi zinazosemwa semwa kuhusu nia ya huyo kijana aliyewafyatulia risasi askari hao.
Kuna wengine wanadai kuwa huyo kijana alikuwa analipiza kisasi kwa askari hao, baada ya kumdhulumu dhahabu zake ambazo alikuwa akiziuza.
Hebu tujiulize hivi hawa hawa Polisi watatoa ripoti bila kuuficha ukweli, hata kama ripoti hiyo itasema chanzo cha mauaji hayo ni wao Polisi kufanya dhuluma hiyo ya kumpora dhahabu zake huyo kijana??
Hata ukiangalia mazingira ya mauaji hayo, kwa huyo kijana kuwa-target maaskari watupu na kuwaacha raia, inadhibitisha tetesi hizo.
Ni kwanini basi isiundwe Tume huru ya kuchunguza chanzo cha mauaji hayo, Tume hiyo ihusishe na wataalam wengine kwa mfano majaji wastaafu, wanasiasa maarufu toka kwenye vyama vya siasa, na kadhalika na kadhalika.
Ninavyoona Mimi, kuunda Tume ya uchunguzi, ya maaskari watupu, ni sawaswa na kesi ya nyani kumpa ngedere!
Ni dhahiri hapo hata hayo matokeo ya uchunguzi wa Tume hiyo unaweza kuyabashiri
Hapo sasaHamza analituhumu Jeshi la Polisi iweje Polisi ndio wafanye Uchunguzi
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kunapokuwa na tetesi kutoka kwa wananchi kwamba jeshi la Polisi limehusika kwa namna moja ama nyingine katika uhalifu fulani,jeshi hilo haliwezi na halipaswi kujichunguza lenyewe.Inawezekana wewe ndio kituko. Jeshi la Polisi lazima lichunguze jinai au uhalifu kama huu maana ndio kazi yake ya msingi.
Kama ukisema hilo jeshi lisiwepo kabisa kwa sababu zako nitakuelewa.
Lakini kama lipo lazima lichunguze.
Je unaweza ku-share uzoefu wako, sehemu zingine Mapolisi wakishambuliwa specifically kama hivi, huwa anachunguza nani?!
Na kada kindakindaki wa chama chaw ala.. Halafu (.... Kipenyo)Kwanini tunasita kusema: muuwaji alieuwa askari wetu polisi na kujeruhi raia ni mtanzania mwenye asili ya kisomali? View attachment 1911926
Unechanganyikiwa wewe unayei-support serikali hii ya kionevu. Full stopChadema kiukweli mmechachamaa kwelikweli... Uweledi wa kitaasisi zote nchini mnao nyie...... Badala ya kujiimarisha kisiasa mmejikita kuielekeza serikali nini cha kufanya...
Kama mmechanganyikiwa...??
Polisi ni kikundi cha ccm saiv wapo huko kupambana na nccr mageuzi wasifanye kongamano laoWabongo mnamambo na mbwembwe
Basi kazi tunayo.Polisi ni kikundi cha ccm saiv wapo huko kupambana na nccr mageuzi wasifanye kongamano lao
Sirro ameharibu sana profile yake na anakwenda kustaafu kwa aibu kuu. Hakuna legacy yoyote ya maana aliyoacha nyuma yake.Mwaka jana alijipa kazi ya kama hii ya kijichunguza kuhusiana na tuhuma za ocd wa Hai kufanya siasa kinyume cha maadili ya jeshi. Kajichunguza na kujipa report mwenyewe na kisha kumpa promotion mtuhumiwa kuwa rpc. Mzee sirro ninakukumbusha kwamba hii nchi ni ya Watanzania wote na wala si ya ccm kama unavyodhani wewe.
Ni dhairi ilitakiwa Timu huru/isiyotia shaka ya kiuchunguzi.Jeshi la Polisi nchini limejipa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyotokea kwenye daraja la selander, ambapo mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Hamza, aliwafyatulia risasi askari wawili na mlinzi mmoja wa kampuni ya SGA na kuwaua wote na askari wengine kadhaa kujeruhiwa na hatimaye yeye mwenyewe kuuawa na askari waliokuwa wakilinda doria eneo hilo
Kuna hadithi nyingi zinazosemwa semwa kuhusu nia ya huyo kijana aliyewafyatulia risasi askari hao.
Kuna wengine wanadai kuwa huyo kijana alikuwa analipiza kisasi kwa askari hao, baada ya kumdhulumu dhahabu zake ambazo alikuwa akiziuza.
Hebu tujiulize hivi hawa hawa Polisi watatoa ripoti bila kuuficha ukweli, hata kama ripoti hiyo itasema chanzo cha mauaji hayo ni wao Polisi kufanya dhuluma hiyo ya kumpora dhahabu zake huyo kijana??
Hata ukiangalia mazingira ya mauaji hayo, kwa huyo kijana kuwa-target maaskari watupu na kuwaacha raia, inadhibitisha tetesi hizo.
Ni kwanini basi isiundwe Tume huru ya kuchunguza chanzo cha mauaji hayo, Tume hiyo ihusishe na wataalam wengine kwa mfano majaji wastaafu, wanasiasa maarufu toka kwenye vyama vya siasa, na kadhalika na kadhalika.
Ninavyoona Mimi, kuunda Tume ya uchunguzi, ya maaskari watupu, ni sawaswa na kesi ya nyani kumpa ngedere!
Ni dhahiri hapo hata hayo matokeo ya uchunguzi wa Tume hiyo unaweza kuyabashiri
Hivi pamoja na malalamiko yote haya ya wananchi, Jeshi la Polisi linashindwa vipi kujivua jukumu hili walilojipa la kufanya uchunguzi kwa tukio hili la Hamza na kuiachia Tume huru itakayochungiza sakata hilo kwa uwazi na Haki??Jeshi la polisi linatakiwa kubadilika sana na kuacha uovu wao.
Leo hii ni hatari polisi kujua nyumbani kwako una kitu cha thamani!
Kwanini tunasita kusema : Muuwaji alikua kada kindakindaki wa chama cha CCM na mjumbe wa chama halmashauri ya ILALA?Na kada kindakindaki wa chama chaw ala.. Halafu (.... Kipenyo)
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hebu jaribu ku-imagine kama huyo Hamza angelikuwa mwanachama wa Chadema, hizo propaganda za hao maccm zingekuwaje hivi sasa??Kwanini tunasita kusema : Muuwaji alikua kada kindakindaki wa chama cha CCM na mjumbe wa chama halmashauri ya ILALA?View attachment 1912063
Kwanini tunasita kusema : Muuwaji alikua kada kindakindaki wa chama cha CCM na mjumbe wa chama halmashauri ya ILALA?View attachment 1912063
Absolutely !!!Kama ambavyo aliiunda Kikwete, Katika kesi ile ya kina Zombe