musicarlito
Senior Member
- Dec 29, 2020
- 176
- 289
Wasalaam
Kipindi kifupi cha nyuma, tulianza kusahau mambo ya ajali mbaya za barabarani kama mabasi yaliyokuwa yagharimu uhai na majeraha makubwa kama sio ulemavu kwa watanzania.
Kilifanyika nini sio rahisi kujua kiufundi lakini ni wazi kongole ziwaendee waliopewa kusimamia jukumu hilo yaani polisi kitengo cha usalama barabarani.
Mambo sio hivyo sasa, hali imekuwa mbaya, taarifa ya habari lazima na ajali iwemo, yaani ni kama nayo ni sehemu ya kipindi kama utabiri wa hali ya hewa...jana Njombe Coaster imegharimu maisha ya watu na majeraha,leo Singida...kesho hatujui.
Viongozi wenye dhamana wakati mwingine ni vyema kujipima kuona kama bado mnafaa kutumikia nafasi zenu hizi,labda wako watu wanaoweza kutusaidia kulikwepa hili
Hali imekuwa mbaya
Kipindi kifupi cha nyuma, tulianza kusahau mambo ya ajali mbaya za barabarani kama mabasi yaliyokuwa yagharimu uhai na majeraha makubwa kama sio ulemavu kwa watanzania.
Kilifanyika nini sio rahisi kujua kiufundi lakini ni wazi kongole ziwaendee waliopewa kusimamia jukumu hilo yaani polisi kitengo cha usalama barabarani.
Mambo sio hivyo sasa, hali imekuwa mbaya, taarifa ya habari lazima na ajali iwemo, yaani ni kama nayo ni sehemu ya kipindi kama utabiri wa hali ya hewa...jana Njombe Coaster imegharimu maisha ya watu na majeraha,leo Singida...kesho hatujui.
Viongozi wenye dhamana wakati mwingine ni vyema kujipima kuona kama bado mnafaa kutumikia nafasi zenu hizi,labda wako watu wanaoweza kutusaidia kulikwepa hili
Hali imekuwa mbaya