technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Yaani Tanzania vituko uwa haviishi leo hii police wanakula matapishi yao!!!
Duuuuuh, hawa jamaa wanajua kweli kweli ku-play na mindset za wadanganyika...!! Sasa wameanza pole pole kuandaa mazingira ya kuuhalalisha mkutano wa chama kubwa baada ya kuona jamaa wa chama nyingine wamepania kuusimamisha kwa kukosa uhalali....!!June 2 2016 Jeshi la polisi nchini lilitoa tamko lililolenga kuzuia mikutano, maandamano ya kisiasa nchini kutokana hali za kiusalama kutokuwa sawa.
Leo July 09 2019 Jeshi la polisi nchini limetoa ufafanuzi kuhusu tamko la kupiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara ya vyama vya kisiasa kuwa tamko hilo lililenga kuzuia maandamano na mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na tamko hilo halikupiga marufuku mikutano ya kiutendaji na kiutawala ya vyama vya siasa inayofanywa kwa mujibu wa katiba na kanuni za vyama husika.
Hivyo jeshi la polisi linawataka watu wasipotoshe watu kuhusu tamko hilo na pale hali ya kiusalama itakapotengemaa, mikutano na maandamano ya vyama vya siasa itaruhusiwa kufanyika.
Jeshi la polisi nchini limetoa ufafanuzi kuwa halijazuia mikutano ya vyama vya siasa nchini walicho zuia wao ni mikutano ya hadhara ambayo walihisi hali ya usalama haikuwa nzuri.jeshi la polisi nchini limewataka wananchi kupuuza taarifa kuwa wao walizuia mikutano ya kisiasa.
==============
Kichwani kuna kitu kweli? Mahafali yapo kwenye katiba ya CDM?Kama ni kweli ni taarifa ya Jeshi la Polisi wanazidi kujithalilisha kabisa yale mahafali ya vijana wa CHASO walizuia ya nini?
Wewe ni mpumb...vu,katiba ya ccm inaeleza muda wakumchagua Mwenyekiti na sio mwezi huu tare 23.Kichwani kuna kitu kweli? Mahafali yapo kwenye katiba ya CDM?
Hahahaha!! Nimecheka sana mkuu, anaombea kila mtu awe UCHWARA kama yeyeNaona unatamani kila mtu angekuwa na ubongo kama wako, eti?
Lile kongamano la ACT Wazalendo lilikuwa hadharani au ukumbini...hebu nikumbushe genius.
Kichwani kuna kitu kweli? Mahafali yapo kwenye katiba ya CDM?
Ulikuwa nje kabisa wewe hukuona pale ndani namna walikuwa nje jua linawapiga haswa.Zitto pale milleniam tower mkutano ulikua unafanyika nje.
What?Jeshi la polisi nchini limetoa ufafanuzi kuwa halijazuia mikutano ya vyama vya siasa nchini walicho zuia wao ni mikutano ya hadhara ambayo walihisi hali ya usalama haikuwa nzuri.jeshi la polisi nchini limewataka wananchi kupuuza taarifa kuwa wao walizuia mikutano ya kisiasa.
==============