Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 5,957
- 12,285
Kama mimi ninavyotamani nikubananishe mahali nikubabue mkofi mmoja tu ukupeleke kuzimuWaanze kwanza kuchukua hatua dhidi ya wale Magufuli aliowatumia kufanya mauaji ya waliompinga na kuwateka nyara. Kuna watu wanatamani hata wangepata fursa ya kuichapa viboko maiti kwa jinsi alivyowaumiza, huo ndio ukweli