RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,908
Jeshi la polisi mnawajibu wa kumkamata na kumhoji kiongozi wa ACT WAZALENDO ZITTO ZUBERI KABWE kwa kauli ya dhihaka kwa aliyekuwa kiongozi wa nchi DR.JOHN POMBE MAGUFULI.
Kauli hizo za kusema anayempenda akazikwe naye pembeni nikauli zinazoleta mgawanyiko ndani ya jamii na hazipaswi kufumbiwa macho kosa hilo lipo wazi nyie mnataka kukamata makosa gani! Taifa hili huwa linabomolewa na watu kama hao na kuleta makundi ambayo makundi hayo yanaweza kuigawa nchi vipandevipande.
Nawatakia jumamosi njema .
Kauli hizo za kusema anayempenda akazikwe naye pembeni nikauli zinazoleta mgawanyiko ndani ya jamii na hazipaswi kufumbiwa macho kosa hilo lipo wazi nyie mnataka kukamata makosa gani! Taifa hili huwa linabomolewa na watu kama hao na kuleta makundi ambayo makundi hayo yanaweza kuigawa nchi vipandevipande.
Nawatakia jumamosi njema .