Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Msaada mniambie jeshi la police mtatangaza lini nafasi za kujiunga na jeshi hili?
Pia nna ushauri acheni kuchukua vijana fresh from school huku kitaa wamejaa vijana kibao wenye nguvu,akili,maarifa na uzendo na elimu ya kutosha kupambana na wahalifu kama wale wa kibiti
Sasa kuajiri vijana wadogo waliomaliza form 4 au 6 ni kuharibu jeshi ndo mana daily mnalalamikiwa na RAIA utendaji wenu mbovu kutokana na kuajiri watoto na failure wengi.
Tuajirini watu tuliopevuka kiakiri tupige kazi itapendeza mkianza kuajiri wenye degree,pgde na masters achaneni na vitoto vihitimu vya form 4
Pia nna ushauri acheni kuchukua vijana fresh from school huku kitaa wamejaa vijana kibao wenye nguvu,akili,maarifa na uzendo na elimu ya kutosha kupambana na wahalifu kama wale wa kibiti
Sasa kuajiri vijana wadogo waliomaliza form 4 au 6 ni kuharibu jeshi ndo mana daily mnalalamikiwa na RAIA utendaji wenu mbovu kutokana na kuajiri watoto na failure wengi.
Tuajirini watu tuliopevuka kiakiri tupige kazi itapendeza mkianza kuajiri wenye degree,pgde na masters achaneni na vitoto vihitimu vya form 4