MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Jeshi la polisi kanda maalum ya DSM, limewakamata vijana 155 wanaosadikiwa kuunda kundi la uhalifu lijulikanalo kwa jina la "PANYA ROAD" na kupiga marufuku ngoma za 'VIGODORO" kwa madai kuwa vijana hao hujificha katika ngoma hizo.
Je, unapendekeza "PANYA ROAD"
wapewe adhabu gani ili makundi kama haya yasijitokeze tena?
==========
Je, unapendekeza "PANYA ROAD"
wapewe adhabu gani ili makundi kama haya yasijitokeze tena?
==========
Akinukuliwa na radio wapo jijini Dar es salaam, kamanda Kova amesema wamefanikiwa kuwakamata vijana 149, wanaojihusisha na matukio ya kiharifu jijini Dar es salaam, vijana hawa wanatoka katika makundi mbalimbali yakiwemo Mbwamwitu na lile la Panyaroad.