Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
Kama ipo mbona hamkutengeneza hiyo chanjo yenu mpk mkakopeZile zililetwa ili kufanya majaribio tu...ile mitishamba hata bongo ipo.
Kama ipo mbona hamkutengeneza hiyo chanjo yenu mpk mkakopeZile zililetwa ili kufanya majaribio tu...ile mitishamba hata bongo ipo.
Ili mitishamba haiwezi kutibu Covid-19 labda itibu homa.Kama ipo mbona hamkutengeneza hiyo chanjo yenu mpk mkakope
Covidol haijawasaidia?TFF imethibitisha kuwa wanajeshi wa Madagascar, wamevamia hoteli iliyofikia Taifa Stars huko Antananarivo na kukaa kwenye korido ya vyumba vya wachezaji wakiwa na bunduki kabla ya mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji Madagascar. Askari walidai wanataka kuwatoa wachezaji wa Taifa Stars ambao wao wanadai wana maambukizi ya Covid-19.
View attachment 2010056
Kwann sasa mlienda kuchukua kama sio ujinga wa viongozi wenuIli mitishamba haiwezi kutibu Covid-19 labda itibu homa.
Kabudi aliamua kucheza na akili za wadanganyika.Kwann sasa mlienda kuchukua kama sio ujinga wa viongozi wenu
Alicheza na akili ya MwendazakeKabudi aliamua kucheza na akili za wadanganyika.
Wewe mfu mbona unaropokaMnataka kupeleka variants zenu kila sehemu..
Na huko si ndio yule mfu alishadadia ile juisi ya kovid lakini Raisi wao akamkaushia baada ya kuonywa na mabeberu
Na wawekwe karantini tu ili tuwe na kisingizio cha kufungwa...