Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,727
Ana cheti cha jkt anasifaMujibu wa sheria na wenyewe wanahitajika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana cheti cha jkt anasifaMujibu wa sheria na wenyewe wanahitajika?
Unawaza kwa kutumia akili za makalioni!Degree holders wengi tu wanahitaji hiyo kazi na wapo wengine ndani ya polisi wameingia na elimu zao,na wengine wana elimu zao za juu zaidi ya degree wapo huko polisi na wanafanya kazi ya polisi vizuri tu sasa wewe jidanganye mwenyewe usitudanganye na sisi wasomi wenye lengo la kujikwamua. Polisi ni kazi kama kazi zingine.Let's go.!Mkuu kuna vitu unatakiwa uelewe hakuna msomi atakaeweza fanya maagizo ya polisi sababu mengi hayana msingi mfano..wewe uliesoma hauwezi kupelekwa front ukawapige risasi watu wanaoandamana sababu unaelewa wanachodai ni haki yao na madai ni halali ila ukiwaweka hao walifeli form 4 wao wanatekeleza tu hata kama ni kufyatua risasi wanafyatua bila kufikiria sababu uwezo wao wa kufikiria upo limited...
Nimecheka kwa sauti .Haya mambo ya ajira ni magumu sana pita njia hiyo hiyo unayoshikilia sasa maana umeshakosa sifa. Ila kwakuwa kujaribu ni bure wewe jaribu tu unaweza kuta wale wenye sifa zote wakapelea wakaongezwa na wengine..Kidato cha nne mwaka 2016 na mwaka 2015 mbona wameachwa hii imekaaje na ndio wengi?
Mkuu kuna vitu unatakiwa uelewe hakuna msomi atakaeweza fanya maagizo ya polisi sababu mengi hayana msingi mfano..wewe uliesoma hauwezi kupelekwa front ukawapige risasi watu wanaoandamana sababu unaelewa wanachodai ni haki yao na madai ni halali ila ukiwaweka hao walifeli form 4 wao wanatekeleza tu hata kama ni kufyatua risasi wanafyatua bila kufikiria sababu uwezo wao wa kufikiria upo limited...
Basi sawa tkmiza vigezo vyao hivyo uombe mkuuUnawaza kwa kutumia akili za makalioni!Degree holders wengi tu wanahitaji hiyo kazi na wapo wengine ndani ya polisi wameingia na elimu zao,na wengine wana elimu zao za juu zaidi ya degree wapo huko polisi na wanafanya kazi ya polisi vizuri tu sasa wewe jidanganye mwenyewe usitudanganye na sisi wasomi wenye lengo la kujikwamua. Polisi ni kazi kama kazi zingine.Let's go.!
KUNA ALIYEITWA???? AU KIPIGIWA???
AJIRA ZA KUJUANA HIZI????
WATOTO WA WAKUU WA SERIKALI PLUS WA VYOMBO VINGINE VYA USALAMA
JE INTERVIEW YA USALAMA WA TAIFA TISS TAYARI?
Hahahaha yesInterview usalama wa taifa tena..??
Hahahaha yes
Ww UK wpNi izi za polisi au
Ww UK wp
Hivyi vyombo vya police na ulinzi pasua kichwa