Wanadai kukaguliwa mwiliKama mlipima mshamaliza hapo
ndug vpimo vya jeshi nadhan vinajulikana,Wanapima nini haswa
Wakuu wangap wamepangiwa kambi mpaka sasa?
February ndo wanapangiwa kambi au zinakuja nafas nyengin za jkt?Hakuna hata mmoja. Hadi February ndugu.
Duuu, hali tete, kwa dar tumeambiwa tuende j4 hata hapaelewekiWakuu wangap wamepangiwa kambi mpaka sasa?
February ndo wanapangiwa kambi au zinakuja nafas nyengin za jkt?
Duuuuh poleniDuuu, hali tete, kwa dar tumeambiwa tuende j4 hata hapaeleweki
Duuuuh sas ile tarifa waliyosema kureport kambin mwish tareh 9 Dic imebadilishwa au?Yap... Kwenda makambini mpaka February 2018. Confirmed.
Mtoto wa sisterngu yuko moshi kapangiwa makuto...., na j3 anaenda kuriportDuuuuh sas ile tarifa waliyosema kureport kambin mwish tareh 9 Dic imebadilishwa au?
Ndo apo nataka nishangae mimi uyo anasema february labda sjamuelewa mimiMbona mdogo wangu kapangiwa tanga from kibaha,kuriport kuanzia tarehe 4 dec
Uku kisiwani leo w2 wanaripoti kambi flani ya jeshi la jwtz kwa ajili ya kesho kuanza safari yao kuripoti ktk makambi walizopangiwaMtoto wa sisterngu yuko moshi kapangiwa makuto...., na j3 anaenda kuriport
nakukubali sana zengwe masterYap... Kwenda makambini mpaka February 2018. Confirmed.
Kuna dogo langu amepangiwa huko na yeyehodi mafinga jkt....
Hongera kila la kheri.Namshukuru Mungu nimepangiwa Mafinga_ Tanga, maombi yenu