Nani anafikiri au anamuona Raila odinga akiona kuwa amuachie Kibaki aendelee na Uraisi ..eti kwa sababu ya kulinusuru taifa lisiingie kwenye machafuko na vita vya kikabila na itikadi nyingine?
Nani anamuona Mwai Kibaki akirebika maramoja na kuona makosa yake na kuamua kumuachia Raila Odinga aendelee na Uraisi kwa ajili ya kunusuru taifa la kenya.
Inaingia akilini...kwanamnafulani atatokea mpatanishi atakaye lete muafaka wa kudumu hivi karibuni?
Kama Yote hayo hayawezekani: Je Ni wakati muafaka kwa jeshi la Kenya kusimamia nchi,Bila odinga na Raila kuweko madarakani ili kuiweka nchi kwenye UTULIVU na muafaka uendelee kutafutwa???
Nani anamuona Mwai Kibaki akirebika maramoja na kuona makosa yake na kuamua kumuachia Raila Odinga aendelee na Uraisi kwa ajili ya kunusuru taifa la kenya.
Inaingia akilini...kwanamnafulani atatokea mpatanishi atakaye lete muafaka wa kudumu hivi karibuni?
Kama Yote hayo hayawezekani: Je Ni wakati muafaka kwa jeshi la Kenya kusimamia nchi,Bila odinga na Raila kuweko madarakani ili kuiweka nchi kwenye UTULIVU na muafaka uendelee kutafutwa???