Jeshi la Kenya ladumisha uongozi wake Afrika Mashariki na Kati

Wewe hizi vitu bado zinatumika??? Yaani utakuwa na Rocket inaenda 40Km kufanya nini?? Yaani Rocket haiwezi hata toka Dar ikachapa Morogoro?? Hahahaha, Yaani Rocket ikirushwa toka Dar CBD inafika tu Pugu na hapo ndio mwisho?? Hiyo haiwezi fanya kitu kwa vita ya kisasa
Kwikwikwikwi Tunaanza analysis:
Hii hapa inapiga toka Arusha mpaka Nairobi (Type 63)

upload_2017-4-25_18-7-30.png


upload_2017-4-25_18-9-17.png
 
Wewe hizi vitu bado zinatumika??? Yaani utakuwa na Rocket inaenda 40Km kufanya nini?? Yaani Rocket haiwezi hata toka Dar ikachapa Morogoro?? Hahahaha, Yaani Rocket ikirushwa toka Dar CBD inafika tu Pugu na hapo ndio mwisho?? Hiyo haiwezi fanya kitu kwa vita ya kisasa
Maximum Range ya A100 ni 230km. Halafu ipo na remote control. Nyie jileteni tu mtajua.

26_72972_31250e889f41e31.jpg


upload_2017-4-25_18-15-50.png
 
BTW any attack on alshabaab huwa inafanywa na KDF.. I wonder hizo countries zingine zinafanya nini... Naskia Uganda wanataka kujiondoa Somalia pia

Have they given reason of withdrawal.
 
Taarifa za Stockholm International Peace Report (SIPRI) zimetolewa huku Marekani ikiongoza duniani, lakini tukija kwenye level ya Miafrika hususan Mashariki na Kati, Kenya ndio baba mkubwa kama ilivyo siku zote. Hehehehe!!!! Sikujua inachosha kuwa namba moja kila siku.

graphic.jpg


Kenya shocks rivals with Sh96bn military budget

Kenya’s military spending last year rose to a new high of Sh96 billion to stand above those of neighbouring Ethiopia and Uganda combined for the first time, according to a newly released global report.

Nairobi spent $933 million (or nearly Sh100 billion) on its military last year, a 10.5 per cent growth from $844 million (Sh86.9 billion) in 2015 — a move that is seen as having the potential to upset the power balance in the region.

The data released by Stockholm International Peace Research Institute (Sipri), an independent global security think tank, yesterday shows Kenya’s Defence bill is the eighth largest in Africa.

The report shows that Kenya has more recently continued to lead its East African peers both in budget size and annual spending growth, causing fear that it could spark an arms race in the volatile region.

“Kenya’s expenditure increase can be related to the country improving its capabilities against terrorists. There is also the issue of regional security in the context of neighbouring countries, Ethiopia, Somalia and South Sudan,” said Nan Tian, an arms researcher at Sipri, in an email response to questions on the report.

“A key point made by (Kenyan) government is the need to improve security in order to boost economic growth and employment.”

Kenya has in recent years suffered deadly gun and bomb attacks from Somalia-based Al-Shabaab militants demanding withdrawal of the country’s troops from the war-torn Horn of Africa nation.

At $933 million, Kenya’s military spending is more than the $469 million that Ethiopia and the $403 million that Uganda spent on their Defence last year, the Sipri report shows.

Tanzania stands behind Kenya in the region’s military spending order, having spent $544 million (Sh56 billion) on its Defence, followed by Ethiopia and Uganda.

Efforts to get a breakdown of Kenya’s military spending were unsuccessful.

“Unfortunately due to transparency issues in many African countries, it is very difficult to get breakdowns on the spending. This is the case for Kenya. The government provides only a total figure,” Dr Tian said.

Kenya does not make public its military purchases, and only Parliament is mandated to scrutinise the classified expenditure by security organs.

Some of Kenya’s largest expenditure items are, however, known having been revealed through other international sources.

Last December, for instance, Kenya received six Huey II helicopters from the US at a cost of $106 million (Sh10.9 billion).

The aircraft, mostly used for deployment of troops in battlefields, are designed to reinforce Kenya’s use of drones in waging intelligent warfare.

Nairobi also received a Sh1 billion drone dubbed ScanEagle from the US last year, enabling the army to conduct real-time surveillance on terrorists’ hideouts and stage pre-emptive attacks.


The Sipri report shows that Nairobi’s military bill accounts for 1.4 per cent of the country’s gross domestic product (GDP) and five per cent of the total government spending. The military expenditure has nearly doubled in the last decade from Sh50 billion in 2007 to Sh96 billion last year.
Last year, Tanzania grew its Defence budget 5.2 per cent to Sh56 billion, making it the second-biggest rise behind Kenya’s while Uganda’s increased 3.5 per cent – the lowest rate in the region.

“This (Tanzania’s) increase could be related to the recent announcement of the military cooperation between China and Tanzania. The case here could be the procurement of Chinese weapons at a much cheaper price than before. This might incentivise Tanzania to spend extra on procurement that they might not need, but will do so because it is now more affordable,” Sipri said, even as it expressed surprise at the sluggish growth of Uganda’s military spending.

“This is actually a surprise given its relationship with South Sudan and the ongoing conflict between Sudan and South Sudan. One reason for the low increase has to do with oil prices hampering government revenue and its ability to spend on the military,” says the report.

Kenya’s $933 million military expenditure accounted for 2.4 per cent of Africa’s total military spending of Sh3.9 trillion ($37.9 billion) last year.

Morocco leads in Africa with a Defence budget of Sh339 billion ($3.3 billion), followed by South Africa ($3.1 billion) and Angola $2.8 billion (Sh288 billion).

Sudan is fourth at $2.7 billion while Nigeria is fifth at $1.7 billion. Kenya is eighth behind Tunisia and Algeria, excluding Egypt and Libya whose data were not made public.

Globally, the US retains the pole position as the highest military spender at $611 billion (Sh62.9 trillion), which is nine times Kenya’s GDP, with China coming a distant second ($215 billion) and Russia third with a $69.2 billion budget.

Global Firepower, an agency that assesses military strength of nations, last year ranked Kenya’s military the eleventh most powerful in Africa and the best in East Africa.


Kenya’s arms stockpile, according to the agency, comprises 76 battle tanks, 591 armoured fighting vehicles, 30 self-propelled guns, 25 towed artillery, 132 aircraft, 17 fighter jets, and 62 helicopters.

Kenya shocks rivals with Sh96bn military budget


Dar maintains place in military spending

Wewe acha kufananisha jeshi letu la Tanzania (TPDF) na majeshi ya nchi nyingine za Afrika mashariki. Tanzania ipo juu sana na ndiyo kinara wa ukombozi hembu someni historia.
Hawa jamaa si ndiyo walishindwa kuzibiti Alshabab wanne tu walipovamia pale Westgate au sio hawa sasa wanakuwaje zaidi ya TPDF?
 
Have they given reason of withdrawal.
Museveni akibanwa koo na wa magharibi huwa ndio anatishia kuondoa majeshi yake kutoka somalia na si mara ya kwanza kufanya hivi ashakurupuka mara kadhaa lakini baada ya masaa kadha huwa unaskia anakunusha madai hayo. Tushamzoea huyo.
 
HAHAHAHAHAAA...mitanzania hutamka al shabaab hata kushinda wasomali wenyewe, ndo maana mlikunja mkia hata jeshi lenu lenyewe mkalificha kisha mnakuja JF na kelele with no recent field deployment.
Uciguse huo moto wa jw ni habar nyingne, moto wa gec
 
kamuulize id amin

Vita vya wakati ule hauwezi kulinganisha na vya kisasa, modern warfare mziki tofauti ambao unapigana na watu wakujitoa mhanga. Wanashambulia kwa kujilipua lipua baada ya kuaminishwa uzombi wa kiaina. Kamuulize Mrusi na Mmarekani hadi leo kule Syria na Iraq wanapiga mabomu lakini wapi, mazombi yanaendelea kuongezeka.
 
Taarifa za Stockholm International Peace Report (SIPRI) zimetolewa huku Marekani ikiongoza duniani, lakini tukija kwenye level ya Miafrika hususan Mashariki na Kati, Kenya ndio baba mkubwa kama ilivyo siku zote. Hehehehe!!!! Sikujua inachosha kuwa namba moja kila siku.

graphic.jpg


Kenya shocks rivals with Sh96bn military budget

Kenya’s military spending last year rose to a new high of Sh96 billion to stand above those of neighbouring Ethiopia and Uganda combined for the first time, according to a newly released global report.

Nairobi spent $933 million (or nearly Sh100 billion) on its military last year, a 10.5 per cent growth from $844 million (Sh86.9 billion) in 2015 — a move that is seen as having the potential to upset the power balance in the region.

The data released by Stockholm International Peace Research Institute (Sipri), an independent global security think tank, yesterday shows Kenya’s Defence bill is the eighth largest in Africa.

The report shows that Kenya has more recently continued to lead its East African peers both in budget size and annual spending growth, causing fear that it could spark an arms race in the volatile region.

“Kenya’s expenditure increase can be related to the country improving its capabilities against terrorists. There is also the issue of regional security in the context of neighbouring countries, Ethiopia, Somalia and South Sudan,” said Nan Tian, an arms researcher at Sipri, in an email response to questions on the report.

“A key point made by (Kenyan) government is the need to improve security in order to boost economic growth and employment.”

Kenya has in recent years suffered deadly gun and bomb attacks from Somalia-based Al-Shabaab militants demanding withdrawal of the country’s troops from the war-torn Horn of Africa nation.

At $933 million, Kenya’s military spending is more than the $469 million that Ethiopia and the $403 million that Uganda spent on their Defence last year, the Sipri report shows.

Tanzania stands behind Kenya in the region’s military spending order, having spent $544 million (Sh56 billion) on its Defence, followed by Ethiopia and Uganda.

Efforts to get a breakdown of Kenya’s military spending were unsuccessful.

“Unfortunately due to transparency issues in many African countries, it is very difficult to get breakdowns on the spending. This is the case for Kenya. The government provides only a total figure,” Dr Tian said.

Kenya does not make public its military purchases, and only Parliament is mandated to scrutinise the classified expenditure by security organs.

Some of Kenya’s largest expenditure items are, however, known having been revealed through other international sources.

Last December, for instance, Kenya received six Huey II helicopters from the US at a cost of $106 million (Sh10.9 billion).

The aircraft, mostly used for deployment of troops in battlefields, are designed to reinforce Kenya’s use of drones in waging intelligent warfare.

Nairobi also received a Sh1 billion drone dubbed ScanEagle from the US last year, enabling the army to conduct real-time surveillance on terrorists’ hideouts and stage pre-emptive attacks.


The Sipri report shows that Nairobi’s military bill accounts for 1.4 per cent of the country’s gross domestic product (GDP) and five per cent of the total government spending. The military expenditure has nearly doubled in the last decade from Sh50 billion in 2007 to Sh96 billion last year.
Last year, Tanzania grew its Defence budget 5.2 per cent to Sh56 billion, making it the second-biggest rise behind Kenya’s while Uganda’s increased 3.5 per cent – the lowest rate in the region.

“This (Tanzania’s) increase could be related to the recent announcement of the military cooperation between China and Tanzania. The case here could be the procurement of Chinese weapons at a much cheaper price than before. This might incentivise Tanzania to spend extra on procurement that they might not need, but will do so because it is now more affordable,” Sipri said, even as it expressed surprise at the sluggish growth of Uganda’s military spending.

“This is actually a surprise given its relationship with South Sudan and the ongoing conflict between Sudan and South Sudan. One reason for the low increase has to do with oil prices hampering government revenue and its ability to spend on the military,” says the report.

Kenya’s $933 million military expenditure accounted for 2.4 per cent of Africa’s total military spending of Sh3.9 trillion ($37.9 billion) last year.

Morocco leads in Africa with a Defence budget of Sh339 billion ($3.3 billion), followed by South Africa ($3.1 billion) and Angola $2.8 billion (Sh288 billion).

Sudan is fourth at $2.7 billion while Nigeria is fifth at $1.7 billion. Kenya is eighth behind Tunisia and Algeria, excluding Egypt and Libya whose data were not made public.

Globally, the US retains the pole position as the highest military spender at $611 billion (Sh62.9 trillion), which is nine times Kenya’s GDP, with China coming a distant second ($215 billion) and Russia third with a $69.2 billion budget.

Global Firepower, an agency that assesses military strength of nations, last year ranked Kenya’s military the eleventh most powerful in Africa and the best in East Africa.


Kenya’s arms stockpile, according to the agency, comprises 76 battle tanks, 591 armoured fighting vehicles, 30 self-propelled guns, 25 towed artillery, 132 aircraft, 17 fighter jets, and 62 helicopters.

Kenya shocks rivals with Sh96bn military budget


Dar maintains place in military spending
Inakuaje Ethiopia yenye majeshi Amisom na iliyopakana na Somali pia haijawai kupata mashambulizi nchini kwake pamoja na bajeti yake hapa ikionyesha kua chini ya Kenya. Nadhani Kenya yafaa wajiulize sana tatizo ni ukubwa wa bajeti au ni upungufu upi wanaotumia hao Alshabab kuwashambulia Wakenya
 
Vita vya wakati ule hauwezi kulinganisha na vya kisasa, modern warfare mziki tofauti ambao unapigana na watu wakujitoa mhanga. Wanashambulia kwa kujilipua lipua baada ya kuaminishwa uzombi wa kiaina. Kamuulize Mrusi na Mmarekani hadi leo kule Syria na Iraq wanapiga mabomu lakini wapi, mazombi yanaendelea kuongezeka.
Duh, hivi huwa mnareason vizuri kweli?
Do u really think USA can't stop terrorism?
Hata hao alshabab mnachezewa tu Akili zenu. Poor you !
 
Inakuaje Ethiopia yenye majeshi Amisom na iliyopakana na Somali pia haijawai kupata mashambulizi nchini kwake pamoja na bajeti yake hapa ikionyesha kua chini ya Kenya. Nadhani Kenya yafaa wajiulize sana tatizo ni ukubwa wa bajeti au ni upungufu upi wanaotumia hao Alshabab kuwashambulia Wakenya
Tatizo sio ukubwa Wa bajeti mkuu,
Tatizo ni Udogo Wa Akili Wa hawa majirani
 
Inakuaje Ethiopia yenye majeshi Amisom na iliyopakana na Somali pia haijawai kupata mashambulizi nchini kwake pamoja na bajeti yake hapa ikionyesha kua chini ya Kenya. Nadhani Kenya yafaa wajiulize sana tatizo ni ukubwa wa bajeti au ni upungufu upi wanaotumia hao Alshabab kuwashambulia Wakenya

Hawa kdf wajifananishe na vilaza wenzao Nigeria ambao wakiona boko haram hutoka nduki.
Na pia wajue ubora wa jeshi ni discipline, uingi wa vifaa ni third after team work.
 
Unajua spectators huwa wanaongea sana.. They really know how to judge things from a safe distance... Tumeni jeshi lenu Somalia najua amisom will give tz it's territory. Ndio mtajua vita ni nini.. If hamtaki kupeleka jeshi lenu kupigana Somalia atleast hata mgekuwa mnaprovide airstrike Somalia when it's needed like what Russia is doing in Syria, but pia hiyo you can't that's y unaona a country like Nigeria wanatuma jeshi yao Somalia.. All the way from West Africa... Kenya is the only country wamepewa huge territory kuchunga plus we provide all the airstrike plus drone surveillance.. Thats what's up!!!!!!!!!
 
Unajua spectators huwa wanaongea sana.. They really know how to judge things from a safe distance... Tumeni jeshi lenu Somalia najua amisom will give tz it's territory. Ndio mtajua vita ni nini.. If hamtaki kupeleka jeshi lenu kupigana Somalia atleast hata mgekuwa mnaprovide airstrike Somalia when it's needed like what Russia is doing in Syria, but pia hiyo you can't that's y unaona a country like Nigeria wanatuma jeshi yao Somalia.. All the way from West Africa... Kenya is the only country wamepewa huge territory kuchunga plus we provide all the airstrike plus drone surveillance.. Thats what's up!!!!!!!!!
We don't see the reason to do so.
 
Back
Top Bottom