pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,206
- 6,439
Mzee vita haichaguaKupiga kama ameamua kupiga apige lakini wale watoto a waache
Mzee vita haichaguaKupiga kama ameamua kupiga apige lakini wale watoto a waache
Huwezi kupigana vita na watu hawana silaha ni sawa boxing kuingiza Tyson na Cheka. uwezo wa kivita hupimwa na anayelingana na wewe kwa kiasi ule mwaka waliingia ground kusini mwa Lebanon shughuli waliyokutana nayo kwa Hezbollah mpaka US akaingia kati kuomba yaishe. Watu hawana Kifaru hata kimoja wana vi rocket tu local made.netanyau endeleza dozi
Kuna wanamgambo tu sijui wameingia hapo Mozambique Parma sijui wameshindwa kuwatoa mpaka leo.Mozambique, Congo, Eritrea na Somalia kuna vita, waafrika wenzetu ila mbona waafrika tuna hela za madini ila hatuwachangii pesa kupigana hizi vita???
Vita ya mwenzako sio yako, ni sawa na ugomvi wa jirani na mke wake uende kuuingilia.
TAKBIIRRRHamas hawatoi press mfululizo wapo mzigoni,yeye PM azame ndani ya Palestina akaone kama yaliyomo yamo!
Hao visa vyao sio vya jana wala juzi,kuna siku naangalia video border jamaa kaja na gari toka Palestina aingie Jerusalem, kaulizwa maswali rahisi tu ya kuingia border we akarudi kwenye gari katoka na Mjambia,... kama mnajificha nyuma ya watoto au kuwavika mabomu afanyeje? Ni kuwabwatua tu hakuna namna.
Israel sio nyepesi kiasi hicho na ubabe wao unatokana na idara zao za ujasusi kuwa imara. Wamefanikisha mission ngumu sana na nyingine zimeingia ktk historia.Netanyahu hana akili, anapigana na wapalestina ambao ni watu wasio jiweza kijeshi, watu wanaotumia mawe na traditional short range missiles, halafu anajisifu kwenye vyombo vya habari.
Hao wapalestina wangekua na vifaa vya kijeshi kama vya Israel au vifaa vitatu kati ya hivi hapa chini;
1) Air Force.
2) Vifaru.
3) Nuclear.
4) Inter-Continental Ballistic Missiles (ICBM).
5) Anti-Ship Ballistic Missiles.
6) Anti-Tank Ballistic Missiles.
7) Air To Air Ballistic Missiles.
8) Tomahawk Cruise Missiles au Russian Warship Cruise Missiles SS-N-30.
8) Radar na Satelite Za Kijeshi.
9) Submarines.
Dunia ingesimama, maana Netanyahu na Wayahudi wangetoweka katika ramani ya dunia ndani ya siku 2 tu. Wale jamaa ni vichaa na sio waoga kama Iran na wengine wanapiga kelele za mdomo tu.
Wanaweza kutumia hata za Iran, Iran anavyo vyote isipokuwa nuclear na hadi sasa ameshindwa kutumia dhidi ya Israel ingawa wana-operate Syria (kwa kumsaidia Assad) na pia wanaoperate Lebano kupitia Hizbollah. Kwa sasa Waarabu wote,hata waungane hawawezi kushindana na Israel labda miongo kadhaa ijayo.Netanyahu hana akili, anapigana na wapalestina ambao ni watu wasio jiweza kijeshi, watu wanaotumia mawe na traditional short range missiles, halafu anajisifu kwenye vyombo vya habari.
Hao wapalestina wangekua na vifaa vya kijeshi kama vya Israel au vifaa vitatu kati ya hivi hapa chini;
1) Air Force.
2) Vifaru.
3) Nuclear.
4) Inter-Continental Ballistic Missiles (ICBM).
5) Anti-Ship Ballistic Missiles.
6) Anti-Tank Ballistic Missiles.
7) Air To Air Ballistic Missiles.
8) Tomahawk Cruise Missiles au Russian Warship Cruise Missiles SS-N-30.
8) Radar na Satelite Za Kijeshi.
9) Submarines.
Dunia ingesimama, maana Netanyahu na Wayahudi wangetoweka katika ramani ya dunia ndani ya siku 2 tu. Wale jamaa ni vichaa na sio waoga kama Iran na wengine wanapiga kelele za mdomo tu.
Waarabu ushuzi leo wanachungulia tu hawaingii humu... humu napo kumenukaHuyo black ni komando unaona ana bawa la chuma....
Wenye bawa la kitambaa/kudarizi ni marubani au tuseme kikosi cha anga..
Anyways hao uliowatag hawaji
Ndo maana yake na bado wanazidi kutandaza dozi kwa waumini wa Mungu mmoja na hakuna chochote anachofanyatuombe amani tu maana hawa wa Israeli si waligomea hadi mikate toka peponi?
Wataomba poo kwa Netanyahu, nakwambia dunia kimya, From Moscow, Washington, Riyath and Mecca, the entire Europe.....wacha wanaume waonyeshe dunia nini wana uwezo wa kufanyaA tower block in Gaza, housing the offices of the Associated Press and Al Jazeera news outlets, has collapsed after being hit by an Israeli strike.
The building had been evacuated beforehand after the owner received a warning from Israel, Reuters news agency says.
In a statement released shortly afterwards, the Israeli military said the building housed military assets belonging to Hamas, the Palestinian militant group that rules Gaza.