Jeshi la Israel mpakani na Gaza kujiandaa na mashambulizi ya ardhini dhidi ya wanamgambo wa Hamas

Hivi watu wanajuwa hawa mayahudi walishapewa ardhi wangekuwa jirani zetu pande za juu na kama wangekubali baada ya kuja kuona wangeshachukuwa lake victoria na Serengeti ila hali ya hewa hawakuipenda na wanyama wa porini na wamasai walikuwa issue kidogo ila kina Nentanyau wangekuwa mlango tu hatari wangetumeza taratibu tu. British walikuwa wanagawa viwanja tu kama mali zao.

The British Uganda Program was a plan to give a portion of British East Africa to the Jewish people as a homeland.

The offer was first made by British Colonial Secretary Joseph Chamberlain to Theodore Herzl's Zionist group in 1903. He offered 5,000 square miles (13,000 km2) of the Mau Plateau in what is today Kenya. The offer was a response to pogroms against the Jews in Russia, and it was hoped the area could be a refuge from persecution for the Jewish people.

The idea was brought to the World Zionist Organization's Zionist Congress at its sixth meeting in 1903 in Basel. There a fierce debate ensued. The African land was described as an "ante-chamber to the Holy Land", but other groups felt that accepting the offer would make it more difficult to establish a Jewish state in Palestine. Before the vote on the matter, the Russian delegation stormed out in opposition. In the end, the motion to consider the plan passed by 295 to 177 votes.

The next year, a three-man delegation was sent to inspect the plateau. Its high elevation gave it a temperate climate, making it suitable for European settlement. However, the observers found a dangerous land filled with lions and other creatures. Moreover, it was populated by a large number of Maasai who did not seem at all amenable to an influx of people coming from Europe.

After receiving this report, the Congress decided in 1905 to politely decline the British offer. Some Jews, who viewed this as a mistake, formed the Jewish Territorialist Organization with the aim of establishing a Jewish state anywhere.[4]
 
Vipi jana ulikuwa unashangilia viroketi vya hamas kurushwa israel ukasema wapalestina wamejitahidi tripu hii vipi sasa umeona majibu ya israel kwa hammas jinsi ndege za israel zinashusha viti vizito gaza magorofa yanavyoshushwa na kugeuzwa vumbi tayari makamanda wa hammas wapatao 33 na mkuu wa jeshi la Palestina wameshapelekwa kuzimu na magaidi wa hammas waliojificha mapangoni wamezikwa wazima wazima na makombora ya israel na raia 139 wa Palestina wameuawa

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Hujanijibu swali
 
Tena Mchenzi wa juu kabisa tena nikupe siri moja bora sisi waislamu tunawependa wakristo na tunaweza kushi na nyie bila kuwabagua ktk dini zenu lkn Mayahudi hawakendeni nyie wakristo wala hawatupendi sie waislamu hilo ujue kabisa .
yahudi ni katili sana na ni ngumu kwa yahudi kubadili dini kuwa Muslim au mkristo,mungu alishapiga mihuri ktk mioyo Yao kwa ubishi wao
 
Mnawakuza sana wayahudi ila hakuna vita wameshinda kabla ya 1948.

Jesho lao kule Poland lilichakazwa na both warusi and Germany.

Kwenye 1st and 2nd crusade wayahudi walitandikwa in both France and Spain

Eastern Europe kule Lithuania, jews had an army but ilitandikwa mnoo na Russians.

Talk about stalin na vifo vya wayahudi

Hitler akaja kumaliza kazi

Wameshapigwa sana mkuu ni wavivu tu wahistoria ndio mnapotoshana. Kinachowasaidia ni back up ya US

But siku Russia/China zikiingia upande wa Palestina ndio mwisho wa Israel. Na huo muda utafika very soon
Ukiitwa jina ZITTO ujue unatatizo hata akili yako itakua nzitto
 
Ukiitwa jina ZITTO ujue unatatizo hata akili yako itakua nzitto
Njoo na hoja kijana.... Tatizo hampendi kusoma vitabu mnataka kusikiliza umbea tu na kumsubiri Gwajima awachambulie historia ya Israel?

JF ni sehemu ya GT kama unataka debate na wajinga wenzio wasio na elimu nenda FB au vijiwe vya kahawa.
 
Njoo na hoja kijana.... Tatizo hampendi kusoma vitabu mnataka kusikiliza umbea tu na kumsubiri Gwajima awachambulie historia ya Israel?

JF ni sehemu ya GT kama unataka debate na wajinga wenzio wasio na elimu nenda FB au vijiwe vya kahawa.
Elimu kama ya prof kabudi? Bora niendelee kulima maparachichi
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom