Jesca Kishoa: Gesi yote inayopatikana Mtwara inakwenda kumilikiwa na China na Bomba la Gesi lenyewe

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
Mheshimiwa Naibu spika Moja ya sababu kubwa Mheshimiwa Naibu spika ya watu wengi kushindwa kununua Gesi TPDC Moja ya sababu ni kwamba Gharama ya Ujazo wa Bomba ni kubwa sana na kuna taarifa kwa sababu mambo yao wanashindwa kuyaweka wazi kuna taarifa inasemekana kwamba, Gharama halisi ya ya bomba ya Gesi na Gharama tunayolipa kuna ziada ya Dola za kimarekani 400 Mheshimiwa Naibu spika.

Sasa kulipa Gharama zote hizi Mheshimiwa Naibu spika hii ndio sababu kubwa inayopelekea mpaka Gharama ya Gesi inakuwa kubwa ninaomba kupitia mbunge lako tukufu Mheshimiwa Naibu spika na hii nitaishikiria shilingi. Serikali iunde team ya wataalamu kwenda kuchunguza Gharama halisi za ya bomba la Gesi, Lakini pia wachunguze mkopo ambao tumepewa kutoka China na Exims bank,

Na Bahati nzuri sana huu mkataba upo vizuri sana, Mkataba unasema hivi ikitokea kwamba Tanzania tumeshindwa kulipa hili Deni tujue kabisa kwamba Gesi yote inayopatikana mtwara inakwenda kumlikiwa na China na Bomba la Gesi lenyewe, na hii haitakuwa ya ajabu kwa sababu hili suala limefanyika Sir Lanka, Limefanyika Zambia kwa hiyo ni muendelezo wa mambo ambayo kama hatuwezi kuwa makini

Tunaweza kujikuta tunapoteza raslimali Muhimu katika taifa hili bomba la Gesi Ambalo linafanya kazi kwa asilimia 6%, ila 94% bomba halitumiki. Sasa huo mkopo wadola mil 1.2 kutoka China tunaulipaje? Mkataba wa Kupewa mkopo ulisema tukishindwa kulipa mkopo tuliokopa basi Gesi yote na bomba vitakuwa controlled na China.
IMG_20190529_163135.jpeg
Screenshot_20190529-192158_1559146944488.jpeg
 
Mheshimiwa Naibu spika Moja ya sababu kubwa Mheshimiwa Naibu spika ya watu wengi kushindwa kununua Gesi TPDC Moja ya sababu ni kwamba Gharama ya ujenzi wa Bomba ni kubwa sana na kuna taarifa kwa sababu mambo yao wanashindwa kuyaweka wazi kuna taarifa inasemekana kwamba, Gharama halisi ya ya bomba ya Gesi na Gharama tunayolipa kuna ziada ya Dola za kimarekani 400 Mheshimiwa Naibu spika.

Sasa kulipa Gharama zote hizi Mheshimiwa Naibu spika hii ndio sababu kubwa inayopelekea mpaka Gharama ya Gesi inakuwa kubwa ninaomba kupitia mbunge lako tukufu Mheshimiwa Naibu spika na hii nitaishikiria shilingi. Serikali iunde team ya wataalamu kwenda kuchunguza Gharama halisi za ya bomba la Gesi, Lakini pia wachunguze mkopo ambao tumepewa kutoka China na Exims bank,

Na Bahati nzuri sana huu mkataba upo vizuri sana, Mkataba unasema hivi ikitokea kwamba Tanzania tumeshindwa kulipa hili Deni tujue kabisa kwamba Gesi yote inayopatikana mtwara inakwenda kumlikiwa na China na Bomba la Gesi lenyewe, na hii haitakuwa ya ajabu kwa sababu hili suala limefanyika Sir Lanka, Limefanyika Zambia kwa hiyo ni muendelezo wa mambo ambayo kama hatuwezi kuwa makini

Tunaweza kujikuta tunapoteza raslimali Muhimu katika taifa hili bomba la Gesi Ambalo linafanya kazi kwa asilimia 6%, ila 94% bomba halitumiki. Sasa huo mkopo wadola mil 1.2 kutoka China tunaulipaje? Mkataba wa Kupewa mkopo ulisema tukishindwa kulipa mkopo tuliokopa basi Gesi yote na bomba vitakuwa controlled na China.View attachment 1111561View attachment 1111564
Huyu ndiye mke wa RAS Kafulila?!
 
Kuna watu watakwambia wamemmiss mzee wa hati ya dharura!

Wajinga huwa hawaelewi huo uzi hapa juu kama ambavyo hawakuelewa haya mambo wakati yanafanyika ambapo wapinzani waliyapinga ndani ya Bunge na nje ya Bunge.

Hata Stiegler's Gorge leo hii watu wanashangilia utadhani wanajua kilichomo kwenye mkataba kama walivyokuwa wanashangilia porojo za uchumi wa gesi.

Katika nchi yoyote,kuishi na wajinga,hasa wa mambo ya siasa na wanasiasa, ni gharama isiyoelezeka na isiyolipika.
 
labda sababu ni ipi ya bomba kutumika kwa asilimia 6% peke yake.Mbona watanzania tuko wajinga kiasi hiki.
Umeuliza swali la msingi,hakuna mkubwa au wakubwa wa nchi hii anasimama kuelezea bila kukata kata maneno shida ni nini,hadi tumeenda kujenga mabwawa ya maji mto Rufiji ni wazi,gesi iliokuwa ya Tanzania inawenyewe sasa.Je ni akina nani?Kanchi kana kashfa nzito kuliko Mercury
 
Wachina walikuwa wanajenga muundo mbinu tu wa bomba la gase kuliwahisha dar kwenye miradi kama kinyerezi na baadae viwanda iwapo watafuta hito huduma na baadae kabisa nyumba za wakazi zingeunganishiwa bomba la gase kama vile unaunganisha bomba la maji,wachimbaji gase ni makampuni tofauti na mchina aliejenga bomba kwahiyo haingii akilini eti tukishindwa kulipa mchina atachukua gase ambayo kimkataba inachimbwa na kampuni tofauti na za china,
 
Back
Top Bottom