Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
CCM watapinga hili kwa nguvu zote.
Maswali yako yadhihirisha udau wa upande fulani, conflict of interest. Hakuna muda mahususi wa kuibua uhalifu. Hoja ya msingi ni ushahidi wa tuhuma. Tusikubali kila tuambiwalo bila udadisi. Lakini watoto, wajukuu ,vitukuu na vilembwe, vitashindwa hata kuenzi makaburi yetu kwa matatizo watakayo kuwa nayo kiuchumi kwa sisi kutohoji maswala ya msingi.sasa kama mkataba ni wa 2004 alikuwa wapi kusema aje kusema sasa?
na kwa nini akimbilie bunge la awamu ya tano kuwa dhaifu? bunge la awamu ya nne limekaa na huu mkataba mbovu kwa nini haliitwi dhaifu?
Sawa ufisadi huu ushuhulikiwe.Lakini hiyo isiwe sababu ya kutusahaulisha ile 1.5 trilion,na kishika uchumba chetu kutoka ACACIA
Ila hayo maelezo ya ziada ya kuhusu ndoa yake yanaleta ukakasi,sababu hayahusiani na hoja aliyoileta mezani
Alafu kuwa Mwanaharakati wa upinzani alafu mumeo yuko chama tawala ambacho ni cha kidhalimu nayo inaleta ukakasi vilevile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanasheria wa iliyokuwa wizara ya Nishati na madini ndio kwa sasa amekuwa waziri wa Nishati.. Shamba la bwana kheri, mbuzi wa bwana Kheri basi yote kheri.Mwanasheria wa iliyokuwa Wizara ya Nishati na Madini (before split) na wasaidizi wake pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wawajibishwe.
Mafisiem akili zao wanazijua wenyeweKwa hiyo songas waendelee kupiga tu hadi 2024?
Duuu basi hapo ndiyo salute kubwa Mkuu.Mwanasheria wa iliyokuwa wizara ya Nishati na madini ndio kwa sasa amekuwa waziri wa Nishati.. Shamba la bwana kheri, mbuzi wa bwana Kheri basi yote kheri.
Hayo ya ziada alikuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari ...............!!Sawa ufisadi huu ushuhulikiwe.Lakini hiyo isiwe sababu ya kutusahaulisha ile 1.5 trilion,na kishika uchumba chetu kutoka ACACIA
Ila hayo maelezo ya ziada ya kuhusu ndoa yake yanaleta ukakasi,sababu hayahusiani na hoja aliyoileta mezani
Alafu kuwa Mwanaharakati wa upinzani alafu mumeo yuko chama tawala ambacho ni cha kidhalimu nayo inaleta ukakasi vilevile.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kama mkataba ni wa 2004 alikuwa wapi kusema aje kusema sasa?
na kwa nini akimbilie bunge la awamu ya tano kuwa dhaifu? bunge la awamu ya nne limekaa na huu mkataba mbovu kwa nini haliitwi dhaifu?
Ndio maana Mheshimiwa Rais anapambania ujenzi wa Stieglers Gorge
View attachment 994866
Waziri Kivuli wa Nishati Jesca Kishoa amshauri Spika wa Bunge kumuita mbele ya kamati ya bunge ya maadili Mwanasheria mkuu wa Serikali kwa kulidanganya Bunge na kushindwa kufanyia kazi taarifa za Ufisadi unaendelea katika mikataba ya kampuni ya kuzalisha Umeme wa Gesi ya SONGAS badala ya kumuita CAG Profesa Assad kwa kusema maneno ya ukweli..
.
Kishoa anatoa Rai hiyo jijini Dodoma ambapo amesema Ufisadi huo Unaendelea umebainishwa katika Ripoti ya CAG ya mwaka 2009 na ya mwaka 2018 ambapo mwanasheria mkuu wa serikali aliahidi mbele ya Bunge kua atalifanyia kazi ambapo mpaka sasa hajalifanyia kazi huku Bunge likishindwa kumuwajibisha.
Katika Ripoti hizo za CAG zilionyesha Tanzania mepoteza zaidi ya shilingi Trilion 1.3 na mikataba hiyo ikiendelea itapoteza zaidi hivyo Waziri huyo Kivuli pia ameomba Rais Magufuli kutumia Mahakama za Kimataifa katika swala hilo kama kwake limekua gumu ili kuokoa fedha za Watanzania
Ukakasi upo mkuu,ones beliefs amd principles might be compromised in the name of love.Wanaoana watu wa dini tofauti ,wanaishi haileti ukakasi, nini vyama tofauti vya siasa !?
Mkuu kwa hiyo unashauri tuanzishe mgodi wetu wa dhahabu na makenikia tuwaachie waendelee kuchukua tu?Ndio maana Mheshimiwa Rais anapambania ujenzi wa Stieglers Gorge
sasa kama mkataba ni wa 2004 alikuwa wapi kusema aje kusema sasa?
na kwa nini akimbilie bunge la awamu ya tano kuwa dhaifu? bunge la awamu ya nne limekaa na huu mkataba mbovu kwa nini haliitwi dhaifu?