Huyu ni mwanasiasa kijana na msomi pia ni meya wa manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, Tanzania. Aliyeyofanya Ilala yanaonekana kwa macho na wala huitaji kuandika hapa, pichani akitoa msaada wa vifaa vya kufanyia usafi. BRAVO Mstahiki Meya.
kuna habari ya mujini kuhusu Jerry...............................................
kuna habari ya mujini kuhusu Jerry...............................................
Hilo nililokoleza wino futa ushapita Kkoo siku za karibuni ukaona rundo la matakataka au unaropoka tuu.Kunanuka mbaya au K.Koo sio ilala au wewe unazungumzia ilala ya keepleft alivyowekeza.Hebu tuondolee shida na uwe unaleta mada ambazo hatujui.Huyu ni mwanasiasa kijana na msomi pia ni meya wa manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, Tanzania. Aliyeyofanya Ilala yanaonekana kwa macho na wala huitaji kuandika hapa, pichani akitoa msaada wa vifaa vya kufanyia usafi. BRAVO Mstahiki Meya.
tumwagie basi besti hiyo habari ya mujini wapenda habari za mujini tupo :der:
Tupe mkuu...
Mzee wa siso na urembo..
Nasikia Kijana SIYE KABISA................
Ndetichia unaonekana kuijua HABARI yake iliyopo mujini?