wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Na iwe ya gharama sawa na ile ya jiwe itakayojengwa viwanja vya Sabasaba, dar-420,000,000/=
Mkuu usimpe sifa sana mbona hakuyasema bungeni? Hawa wabunge wakiingia mjengoni inaelekea pale kuna mtambo uwa reasoning inabaki nje, wakitoka inarudi. AU huenda vile viti uwa vinawafanya wasahau kila kitu itabidi tutazame upya suala la kwuawekea mabenchJerry Slaa ni mara mia moja angekuwa Speaker Wa Bunge, kuliko hicho kijeba cha kutoka Kongwa kinachokaa na kung'aang'aa sharubu tu.
Dogo anajitambua sana, ila CCM wataanza kumwita msaliti na sio mzalendo kwasababu anataka wabunge wakatwe kodi.
WabinafsisaaaaanaWabunge wapuuzi wanataka sisi tukatwe kodi wakati wao hawakatwi kabisa..
Hahahahaaaaaaukuwahisiisikiaaa.mmoja alipoanbiwa hikikiti alikaliaa Prof majimafupi Akaomba Kama anawezakubadilisha kwa GHARAMA YAKE.....kulee HESHIMA mkuuMkuu usimpe sifa sana mbona hakuyasema bungeni? Hawa wabunge wakiingia mjengoni inaelekea pale kuna mtambo uwa reasoning inabadi nje, wakitoka inarudi. AU huenda vile viti uwa vinawafanya wasahau kila kitu itabidi tutazame upya suala la kwuawekea mabench
Kwahiooo beii labda niwee mwekahazina ntakubaliana nayoooo mkuuu ..HII tutachanga wananchiNa iwe ya gharama sawa na ile ya jiwe itakayojengwa viwanja vya Sabasaba, dar-420,000,000/=
Mkuu hakuwa anataka kumrithi maji mafupi? hahahahaHahahahaaaaaaukuwahisiisikiaaa.mmoja alipoanbiwa hikikiti alikaliaa Prof majimafupi Akaomba Kama anawezakubadilisha kwa GHARAMA YAKE.....kulee HESHIMA mkuu
Tunalifanyia kazi wazo lako mkuuu.labda MH NDUNGAI akitoka kwanzaJerry Slaa ni mara mia moja angekuwa Speaker Wa Bunge, kuliko hicho kijeba cha kutoka Kongwa kinachokaa na kung'aang'aa sharubu tu...
Hatuna haja ya kuchangia, boss. Hii serikali ni tajiri, sisi ni dona kantri. Tunajenga sgr, stiglazi goji, mabalabala kila mkoa kwa pesa zetu wenyewe.Kwahiooo beii labda niwee mwekahazina ntakubaliana nayoooo mkuuu ..HII tutachanga wananchi
Haitoshi! Apiganiwe na kila mtanzania kuwa SpikaMbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi...
Eti harufu umeisikia ikitokea upande gani twendeInanukia wapi?
Walijiweka kwenye kundi la kutawala siyo kutuwakilisha, ifike wakati sasa sisi kama waajiri wao tuwapangie nini walipwe siyo wao wajipangie, ipo siku watakomba hazina yote na kumtishia RaisHivi kigezo gani kilitumika ili kusema wabunge wasilipe kodi?
This is very unfair kwa wananchi wengine. Wote tulipe kodi bila kubagua.
La watu wakweli hawana nafasi Bungeni.🤐🤐Hii ndio imesababisha aitwe kujieleza mbele ya kamati yao ya maadili nini?