Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Maneno haya alitakiwa ayaseme Spika wa Bunge Muheshimiwa Job Ngugai na sio Mbunge kama Jerry Slaa. Kifupi ni kwamba nafasi ya hii kauli ni ya Ndugai.Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa, amesema imefikia hatua Wabunge waanze kulipa kodi kupitia mishahara yao ili wapate uwezo wa kuwaambia Wananchi na wao walipe kodi...
Spika anatakiwa ajitathimini kwa kukwepa kodi.