beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Jerry Silaa, ameitaka Serikali kuweka Utaratibu mzuri wa kufanya uthamini na kulipa Wananchi kwa wakati akisisitiza lazima Fedha ziwe zimeshatengwa wakati uthamini unafanyika
Wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Ardhi, amesema "Mara nyingi uthamini unafanyika lakini Taasisi inayoagiza hivyo hata Fedha kwenye Bajeti haijatengewa. Matokeo yake Uthamini unafanyika, Fidia zinachelewa na Wananchi wanapata shida"
Wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Ardhi, amesema "Mara nyingi uthamini unafanyika lakini Taasisi inayoagiza hivyo hata Fedha kwenye Bajeti haijatengewa. Matokeo yake Uthamini unafanyika, Fidia zinachelewa na Wananchi wanapata shida"