Jerry Silaa: Kamati za Bunge zikapige picha kwenye daraja la Tanzanite

SERIKALI YASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA UJENZI WA DARAJA LA SALENDA

September 2, 2015, 9:18 pm
Next MULTICHOICE AFRICA KICKS OFF THE BIGGEST CONTENT SHOWCASE IN AFRICA
Previous MKUTANO WA KAMPENI ZA MH. LOWASSA, SUMBAWAGA MKOANI RUKWA LEO

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali na wajumbe kutoka Benki ya Exim ya Korea baada ya kusaini hati ya mkataba wa makubaliano ya mkopo wa Dola za Kimarekani milioni 91.032 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 154.39 za Kitanzania zilizotolewa na Benki ya Exim ya Korea kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Salenda leo jijini Dar es salaam.

(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

SASA UNAYESEMA UJENZI SIJUI SAINI ILITIWA MWAKA 2016 HEBU KUWA MAKINI SANA HILI DARAJA KIKWETE AMELISIMAMIA SANA. TATIZO MAGUFULI ALIHAKIKISHA MAZUNGUMZO YA AWALI ANAYAFUTA ANAANZA UPYA ILI APATE SIFA YEYE, THAT IS WHAT HAPPENED TO TERMINAL 3, BAGAMOYO PORT AND HILO DARAJA.
Brabra! Huyo Kikwete mzururaji angewezaje kujenga daraja hilo!
 
Brabra! Huyo Kikwete mzururaji angewezaje kujenga daraja hilo!
Unaona data lakini unakuja na blah blah zako poor mind. Am not here to defend Kikwete au Magufuli am just putting the facts right.

Umeona kilichoandikwa na tarehe Ila unaamua kuleta pombe zako. Why can't you refrain from abusing your level of argument for the sake of survival of your little mind???
 
Wakapige picha kwenye madarasa yaliyochoka kama mabanda ya mifugo, wakapige picha kwenye barabara zilizojaa mashimo na kote kunakofanana na huko...
wakipiga za daraja nyinyi pigeni hizo za madarasa halafu zote ziwekwe hapa
 
Aisee viongozi wetu wanawaza kupiga picha tu.

Hakuna mawazo mengine zaidi ya hayo.

Mambo mepesi mepesi tu
 
Hivi Jerry Slaa mbunge wa jimbo la Ukonga, kama huna cha kusema huko mjengoni si ukae kimya tu? Jimbo liko kwenye hali mbaya, miundombinu ya barabara mitaani imegeuka mitaro na zaidi sana mito mvua zinaponyesha. Umeme kukatika mara kwa mara ni jambo la kawaida jimboni kwako, makampuni ya kitapeli yameingia jimboni kwako kupimisha na kurasimisha viwanja... Pamoja na kulipwa laki 200000 hadi 250000 kwa kila kiwanja kama gharama za kupimiwa viwanja na kupewa hati, hakuna kinachoendelea.

Wapiagakura waliokuchagua baada ya JPM kukukingia kifua ili upate kuchaguliwa wamekutuma ukakusanye wanakamati za ulaji kwenda kupiga picha kwenye daraja hata kama linapita baharini?... Ni wazi kuwa huwezi kutumbuliwa na mtu yeyote kwa sasa... Jimbo la Ukonga bado liko wazi na litaendelea kuwa wazi hadi 2025.
 
Mchakato wa ujenxzi ulianza mwaka 2016 na ujenzi ukaanza rasmi mwaka 2018; Kikwete hahusiki kabisa na mradi huo! Feasibility study iliyofanywa wakati wa Kikwete mwaka 2014 iliishia vitabuni; serikali haikucommit kuutekeleza. Kuna feasibility studies nyingi zilizowahi kufanywa bila kutekelezwa, mojawapo ni ile ya Bwala la Nyerere ambalo feasibility study ilifanyika zaidi ya miaka 40 iliyopita na hazikutekelezwa. Nyingine ni ile barabara ya Arusha kwenda Musoma, ambayo feasibility study ilikamilika lakini barabara haikujengwa.
We jamaa bhana...

Ina maana hufahamu kwamba kwenye engineering projects unaanza na Feasibility Study na ukishamaliza unaingia kwenye Detailed Engineering Design, au? Ina maana hapa tena upewe shule ambayo tayari unaifahamu kwamba ambacho kilikamilika 2014 ni Feasibility Study na baada ya hapo wakaanza Detailed Engineering Design?!

Kore 1.png

Mwangalie huyo Mkorea aliyesimama upande wa kulia wa kichwa chake ni mwaka gani huo?

Kore 6.png


Hivi ukiweka mahaba pembeni unaamini kabisa kwamba huo mradi uliishia kapuni?

Kore 2.png

Ziangalie vizuri hizo projects, and here come the First Project:-

Kore 3.png


And again Second Project:-
Kore 4.png


Project 2 Details:-
Kore 5.png

Mwaka 2016 ndipo task force ilipoundwa na serikali kuangalia utaratibu wa kukamilisha ujenzi huo, hadi kufikia mwaka 2018 ujenzi ukaaza rasmi.
2016 unaundaje task force ya kukamilisha ujenzi kabla hujawa na funding source? Yaani mradi ulioshia vitabuni unaweza kuanza kuwa implemented from nowhere?

Kuhusu Barabara ya Arusha Musoma ina maana hufahamu ilikwamishwa na nini?

Kwamba hata Nyerere Dams study ilifanyika zaidi ya 40 years ago... hivi kwa ufahamu wako by the time Tanzania ilikuwa na uchumi ya kuifanya investment ya Bwala la Nyerere liwe commercially viable?!

Nchi ambayo hata kuwa na redio ilionekana dhambi au uhujumu uchumi, uwekeze kwenye mradi kama ule ili iweje?!

Man, tafuta wengine wa kuwadanganya lakini sio mimi...

Na huu uongo ambao mmeurithi kwa Magu sijui unawasaidia nini... ndo yale yale ya kujifanya eti pesa za Sherehe za Uhuru zijenge Barabara ya Morocco-Mwenge wakati ile ni Project ya tangu akiwa waziri na financier akiwa Serikali ya Japan!!
 
Mental Health ni tatizo kubwa nchini kuliko tunavyodhani
Huyu naye ni kiongozi dah huu ujinga ulimbukeni uwendawazimu
Wapige picha ili iweje? Rubbish!
This man is unfit for his community, unfit for anything.

Barabara za Ukonga zimahatibika, yamebaki mahandaki. Hakuna hata kupitisha greda kuyafukia. Lami zimebomoka, kumebakia mashimo kila mahali.

Badala ya kuiomba serikali imsaidie, yeye analeta hoja za wanywa gongo.

Tanzania ni afadhali tuige mfano wa wale wavutabangi wa Mexico waliomfunga mbunge wap kwenye pickup kwa kamba na kumburuza.

Slaa yampasa ajiiuzulu ubunge. Anapoteza muda.
 
Mbunge ndo' kishajenga hoja hapo namakofi kapigiwa nawenzie!!!
anasubiri posho yasiku inayolingana na mshahara wa mwalimu wa mwezi mzima!!
This is Africa
 
Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Jerry Silaa ameipongeza serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi yake hasa ukamilikaji na kuanza kutumika kwa daraja la Tanzanite na kuziomba kamati za Bunge za mwezi Machi kufanya ziara na kupiga picha.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 4, 2022, Bungeni Dodoma, wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Wizara ya Ujenzi.

"Niipongeze serikali ya Rais Samia kwa kazi kubwa inayofanya kwenye miundombinu ya barabara, Februari Mosi daraja la Tanzanite limeanza kutumika pale Dar es Salaam, na kamati za Machi zifanye ziara zipate kupiga picha pale," amesema Mbunge Silaa.

View attachment 2107555



Waendelee na kazi waache ushamba. Daraja limejegwa kwa Msaada wa Korea ya kusini na wataalamu wao. Tuwashukuru hao walitusaidia.
 
Mchakato wa ujenxzi ulianza mwaka 2016 na ujenzi ukaanza rasmi mwaka 2018; Kikwete hahusiki kabisa na mradi huo! Feasibility study iliyofanywa wakati wa Kikwete mwaka 2014 iliishia vitabuni; serikali haikucommit kuutekeleza. Kuna feasibility studies nyingi zilizowahi kufanywa bila kutekelezwa, mojawapo ni ile ya Bwala la Nyerere ambalo feasibility study ilifanyika zaidi ya miaka 40 iliyopita na hazikutekelezwa. Nyingine ni ile barabara ya Arusha kwenda Musoma, ambayo feasibility study ilikamilika lakini barabara haikujengwa.

Mwaka 2016 ndipo task force ilipoundwa na serikali kuangalia utaratibu wa kukamilisha ujenzi huo, hadi kufikia mwaka 2018 ujenzi ukaaza rasmi.

Watu wanasifia kuwa Kikwete ndio ilikuwa mirada yake, sawa ilikuwa ni mipango tu kwenye makaratasi lakini mwenzie anasifiwa kwa EXECUTION ya hizo plans mpaka zinakamilika!! Tofauti ya Maneno na Vitendo.
 
Watu wanasifia kuwa Kikwete ndio ilikuwa mirada yake, sawa ilikuwa ni mipango tu kwenye makaratasi lakini mwenzie anasifiwa kwa EXECUTION ya hizo plans mpaka zinakamilika!! Tofauti ya Maneno na Vitendo.
Kwa hiyo sifa za hilo daraja apewe Samia kwa kuwa limekamilika akiwa madarakani?!
Acha ubishi ndugu yangu, kama ni sifa wapewe wananchi wa Korea Kusini waliotoa pesa zao ili daraja lijengwe, lakini kama tunatafuta sifa za kuwapa marais wetu uchwara, basi Kikwete anastahili maana yeye ndio alichonga michongo yote tupate hilo daraja, Magufuli na Samia ni wadandiaji tu, maana hata wasingekuwepo madarakani bado wakorea wangejenga tu.

Yote kwa yote, hilo daraja sio la kujivunia sana maana ni sehemu ya hongo tuliyolipwa na serikali ya Korea baada ya sisi kuhakikisha Ban Kimoon anapewa ukatibu mkuu wa UN.
 
Matumizi mabaya ya pesa za umma yaani wasafiri toka Dodoma walipwe perdiem kwa ajili ya safari ya kwenda kupiga picha kwenye daraja

Jerry Slaa akili hana
 
Back
Top Bottom