Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,440
- 92,800
Wakuu sasa JF imeshakuwa kero kwa wanasiasa wachovu na waoga wa kutoka chama cha Magamba, na sasa nina uhakika hata JK huwa tuko nae humu ila ni uoga wao tu ndio maana wanaogopa kujiunga maana hawana jipya. nimecopy na kupaste hapa comment ya huyu msanii meya wa Ilala kwenye wall ya Nape Nnauye anayolalamika kwamba JF inamsakama.
-
Jerry Silaa
Comrade union mimi napita jf ujue nimekosa cha kufanya. Wale watu sijui huwa wanafikiria nini. Pliz muasisi kama huna moyo usikatize huko. Watakukatisha tamaa. Ni vyema wakacomment kwenye social network kama fb kama wana confidence tuwajue na misimamo yao. Mmoja alinishambulia halafu anauliza hivi mayor anachaguliwa au kuteuliwa,duh hapo ndio nilipochoka. Viongozi bora hawakatai kukosolewa, tukosoane hadharani na hii ndio itatujenga.
8 hours ago · Like