Wakati Joto La Kisiasa Likiendelea Kukua Hapa Nchini Kuelekea 2015, Jimbo La Kawe Lina Mpambano Mkali Sana Wa Ndani Unaoendelea Pia.
mpambano Wenyewe Ni Mbio Za Ubunge Za Jimbo Hilo Ambapo Sasa Kundi La Mbunge Wa Sasa Halima James Mdee Linajipanga Kuhakikisha Linakamata Nafasi Zote Muhimu Kuanzia Tawi, Kata Mpaka Jimbo Ili Kumrahisishia Ushindi Mdee Katika Kura Za Maoni,
lakini Kwa Upande Wa Pili Mwanasiasa Kijana Jerry Muro Anayetarajia Kuacha Kazi Tbc Mwakani Ili Kuanza Rasmi Harakati Zake Ameshajipanga Vizuri Kumng'oa Mdee Kwan Kundi Lake Ni Lile Lililokuwa Likiupinga Uongozi Wa Sasa Wa Jimbo La Kawe Chini Ya Katibu Mbaga Na Mwenyekiti Wa Vijana Mfinanga..
mtonyo Wa Ndani Unasema Jerry Muro Atakutana Na Vijana Wake Wanaojiandaa Kugombea Bavicha Jimbo, Bawacha Jimbo, Wazee Jimbo Na Chadema Jimbo Ili Kukamilisha Mipango Ya Mwisho Ya Kumng'oa Mdee.
kijana Gerald Patrick, Byamungu Pamoja Na Sagati William Wanatajwa Kuwa Vinara Wa Mpango Huu.
mpambano Wenyewe Ni Mbio Za Ubunge Za Jimbo Hilo Ambapo Sasa Kundi La Mbunge Wa Sasa Halima James Mdee Linajipanga Kuhakikisha Linakamata Nafasi Zote Muhimu Kuanzia Tawi, Kata Mpaka Jimbo Ili Kumrahisishia Ushindi Mdee Katika Kura Za Maoni,
lakini Kwa Upande Wa Pili Mwanasiasa Kijana Jerry Muro Anayetarajia Kuacha Kazi Tbc Mwakani Ili Kuanza Rasmi Harakati Zake Ameshajipanga Vizuri Kumng'oa Mdee Kwan Kundi Lake Ni Lile Lililokuwa Likiupinga Uongozi Wa Sasa Wa Jimbo La Kawe Chini Ya Katibu Mbaga Na Mwenyekiti Wa Vijana Mfinanga..
mtonyo Wa Ndani Unasema Jerry Muro Atakutana Na Vijana Wake Wanaojiandaa Kugombea Bavicha Jimbo, Bawacha Jimbo, Wazee Jimbo Na Chadema Jimbo Ili Kukamilisha Mipango Ya Mwisho Ya Kumng'oa Mdee.
kijana Gerald Patrick, Byamungu Pamoja Na Sagati William Wanatajwa Kuwa Vinara Wa Mpango Huu.