Hivi mtu binafsi haruhusiwi kuitisha press conference?,hakuna mahali kataja CCM mbona mnamhusisha na chama?,hivi kwanini maisha binafsi na mienendo ya mtu siku hizi vinahushwa na CCM, CDM au CUF???
Press Conference
Mimi Jerry C. Muro Nitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari siku ya Jumamosi 07/10/2017 Majira ya saa Sita (12:00 noon ), katika Hotel ya Protea jirani na kanisa la St Pete's Oyerstabay.
AGENDA
Nitajibu tuhuma zilizotolewa Leo Ijumaa 06/10/2017 na Viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambao ni Mhe Godbless Lema - Mbunge Arusha Mjini, Ndugu Benson Kigaila - mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo Chadema.
Nawakaribisha Waandishi wa Habari wote, na wale wa Social Media katika mkutano wangu, Karibuni sana.
Imetolewa na
Jerry C. Muro
Dar es Salaam
06/10/2017
Mkewe mwajiriwa wa nabaki africa hana hiyo pesa sema ndio bahati mbaya kaolewa na shoga la kichaga linamtia aibu dada wa watu.Hivi mkuu mke wake Ni nani? inaonekana ana pesa
unategemea ataenda kusema nini kama hatakuwa upande wa ccm, wewe umeshasikia kauli zake siku hizi anazobwabwaja, waende wenye muda wao, hatuna muda wa kwenda kumsikiliza, tupo bize tunajenga viwandaHivi mtu binafsi haruhusiwi kuitisha press conference?,hakuna mahali kataja CCM mbona mnamhusisha na chama?,hivi kwanini maisha binafsi na mienendo ya mtu siku hizi vinahushwa na CCM, CDM au CUF???
ProbablyBashite kazini
Kama basha wa BashiteAnajibu tuhuma kwa serikali kama nani?
hahahaaa. Angali nyuma kuna premio imebeba watu wasiojulikana.Kama basha wa Bashite
Huyu elton john wa Lumumba hana jipyaPress Conference
Mimi Jerry C. Muro Nitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari siku ya Jumamosi 07/10/2017 Majira ya saa Sita (12:00 noon ), katika Hotel ya Protea jirani na kanisa la St Pete's Oyerstabay.
AGENDA
Nitajibu tuhuma zilizotolewa Leo Ijumaa 06/10/2017 na Viongozi wakuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA ambao ni Mhe Godbless Lema - Mbunge Arusha Mjini, Ndugu Benson Kigaila - mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo Chadema.
Nawakaribisha Waandishi wa Habari wote, na wale wa Social Media katika mkutano wangu, Karibuni sana.
Imetolewa na
Jerry C. Muro
Dar es Salaam
06/10/2017
Hata mimi ni mtu nisiyejulijana mkuuhahahaaa. Angali nyuma kuna premio imebeba watu wasiojulikana.
Haendi kujibu tuhuma dhidi ya serikali,soma uelewe,Lema alimsema yeye kama yeye na yeye anaenda kumjibu Lema,serikali imetokea wapi?,tatizo mnatanguliza uchama na hisia zinavyowatuma