mwana habari maarufu nchini kwa habari za uchunguzi jerry muro baada ya kukaa nje ya tasnia ya habari sasa ametangaza kuanza rasmi kazi kesho jumapili saa tatu usiku soma hapa :
Millardayo.com/exclusive-jerry-muro-atangaza-kituo-cha-tv-atakachoanza-kufanya-nacho-kazi/
mwana habari maarufu nchini kwa habari za uchunguzi jerry muro baada ya kukaa nje ya tasnia ya habari sasa ametangaza kuanza rasmi kazi kesho jumapili saa tatu usiku soma hapa :
millardayo.com/exclusive-jerry-muro-atangaza-kituo-cha-tv-atakachoanza-kufanya-nacho-kazi/
Sasa ametangaza kituo atakachofanya kazi ama amerudishwa kazini kwake? Mkwe bwana, mi nikajua anahamia skynews atii! Haya karibu tena!
mkuu umeona mbali! Kwani anasema eti vituo vingine vinafanya kazi kimakundi sasa kwani TBC haijaegemea kwa magamba 2? Huyu jamaa soon atanza kujikomba kwa magamba maana alishaonja joto la jiwe.
Bigman atakuwa Millard Ayo
gonga abuse, mods watashughulia, ukisoma majibu yake anatoa mapovu tu, hata kumjibu nimeamua niache, si unajua kichaa akichukua nguo hutakiwi kumkimbiza eeh?
Jerry Muro mi nakukubali,ila tu ntakukubali zaidi kama utakaza uzi uleule bila kuogopa mtu yoyote,
Tunataka uwe mtangazaji wa mfano Tanzania na hatimae afrika,usiogope endeleza harakati zako zilezile,sio uache kuitenda kazi yako kwa ufasaha eti kwakua upo TBC,hatakama serikali ikikuhaidi rushwa ya madaraka usiangalie makunyanzi.Nadhani naweza kuanza kuangalia TBC baada ya muda mrefu
Bigman atakuwa Millard Ayo
Bigman atakuwa Millard Ayo
Hapa ni kwake? Sasa inabidi niachane na hii kazi yangu ya ualimu fasta,dah.EXCLUSIVE: JERRY MURO ATANGAZA KITUO CHA TV ATAKACHOANZA KUFANYA NACHO KAZI.
Posted: 7th June 2012 by MillardAyo in News
4
Jerry Muro.
[h=2]EXCLUSIVE: JERRY MURO ATANGAZA KITUO CHA TV ATAKACHOANZA KUFANYA NACHO KAZI.[/h] Posted: 7th June 2012 by MillardAyo in News
4
Jerry Muro.
Jerry Muro Mtangazaji/Mwandishi wa habari ambae alisimama kufanya kazi kwa miezi kutokana na kesi ya kuomba rushwa, kesi ambayo baadae alitangazwa kushinda, ametangaza kituo chake cha kazi baada ya wengi kutomuona kwa muda TBC alikokua akifanya kazi.
Jerry amesema anarudi kufanya kazi TBC na jumapili hii saa tatu na nusu usiku ndio kipindi chake cha kwanza kitaanza kuonekana ambapo kitakua kinaingia kwenye siasa, afya, Uchumi na mengine.
Kuhusu kuendelea kutoa habari zake za kufichua maovu, Jerry amesema ni kazi ambayo iko kwenye damu yangu unajua watu wanaweka matuta barabarani lengo ni kufika mbali japo utafika sehemu utapunguza spidi unaruka tuta unakwenda, sasa hivi tutaifanya kwa ubora zaidi lakini pia sio siku zote tu tuchunguze chunguze kuna saa nyingine inabidi utoe breki alafu uangalie
Kwenye sentensi nyingine Jerry amethibitisha kwamba wakati alipokua kimya baada ya kushinda kesi kuna vituo vingi vya TV Tanzania ambavyo vilitaka kufanya kazi na yeye lakini alishindwa kwa sababu vituo vingi sasa hivi vinafanya kazi kwa makundi ya kisiasa, vingine vimeegemea upande mmoja ndio maana akaamua atumikie kwanza wananchi.
Sio kwamba TBC ndio mwisho wangu lakini ni sehemu ambayo naweza kukaa na kuangalia nakwenda wapi nafanya nini sehemu gani, kila kitu lazima kiwe na mwanzo kwa hiyo hilo kwangu ni mwanzo tu lakini kama nafasi nzuri zitajitokeza basi zitapewa nafasi huo uchunguz gani utakao ufanya ukiwa ktka tbc? Magamba watakuundia zengwe kama tido muhando! Time will tell!
chief watu wanatofautiana sana, muhimu kukumbushana baadhi ya vitu hasa vya msingiMkuu Uswe! Hahahaha short and clear. Inabidi jamaa kabla ya kupost aende kanisani.