- Thread starter
- #21
uliiweka ya nini kila mtu ana lalamika utakuwa una matatizo wewe
malalamiko yako usilazimishe kuwa ya kila mtu,sema wewe unalalamika
uliiweka ya nini kila mtu ana lalamika utakuwa una matatizo wewe
Bi mkubwa nimekumisi! Kumbe upo, nshakutafuta ile mbaya!
Wknd hii vitumbua najikaribisha, achana na watoa povu hawa halifui nguo
Angalia comment za Wanabodi umebakia kutukana Kama lusindemalalamiko yako usilazimishe kuwa ya kila mtu,sema wewe unalalamika
Jerry amesema anarudi kufanya kazi TBC ................kwa sababu vituo vingi sasa hivi vinafanya kazi kwa makundi ya kisiasa, vingine vimeegemea upande mmoja ndio maana akaamua atumikie kwanza wananchi.
mwana habari maarufu nchini kwa habari za uchunguzi jerry muro baada ya kukaa nje ya tasnia ya habari sasa ametangaza kuanza rasmi kazi kesho jumapili saa tatu usiku soma hapa :
millardayo.com/exclusive-jerry-muro-atangaza-kituo-cha-tv-atakachoanza-kufanya-nacho-kazi/
angalia comment za wanabodi umebakia kutukana kama lusinde
Bi mkubwa nimekumisi! Kumbe upo, nshakutafuta ile mbaya!
Wknd hii vitumbua najikaribisha, achana na watoa povu hawa halifui nguo
Watu kama huyu ndio wanaofaa kulambwa ban ili wajifunze kutumia forums, wakirudi wametia akili. Sio mnatuonea sisi, tukionesha mabaya ya Nyerere tunalambwa ban wakati tulikuwepo na anaetulamba ban hakuwepo na anamsikia tu.
wabongo bwana kila kitu siasa.! Si upeleke sehem husika.
haya mkuu, bila Nyerere unavimbiwa nini?
1. uwe mtu mzima, sio miaka ila akiliNaomba maelekezo jinsi ya kupost topic tafadhali
1. uwe mtu mzima, sio miaka ila akili
2. uwe na busara ya kutosha, kama una wasiwasi na busara yako basi tumia njia mbadala = facebook
3. hoja iwe imejitosheleza na ina mashiko (yaani isiwe nusunusu) kama haijojitosheleza usiilete humu
4. usiwe umekunywa kiloba au chang'aa wakati unataka kupost.
Isijekuwa kesi imemtisha na kumnyong'onyeza akaanza habari za kujikomba kwa tbc na magamba in general
"Jerry
amethibitisha kwamba
wakati alipokua kimya
baada ya kushinda kesi
kuna vituo vingi vya TV
Tanzania ambavyo
vilitaka kufanya kazi na
yeye lakini alishindwa
kwa sababu vituo vingi
sasa hivi vinafanya kazi
kwa makundi ya kisiasa,
vingine vimeegemea
upande mmoja ndio
maana akaamua
atumikie kwanza
wananchi" naondoa heshima yangu kwake, kukaa kote nje ya tasnia ya habari hajui kuwa Tb ccm inawafanyia kazi magamba? Huu ni ukilaza wa hali ya juu.
Kwani watu wanavimbiwa nini?