tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Jerry aliwekwa chini ya ulinzi wa polisi na kuhojiwa kwa masaa matano.Inasemekana alikuwa anatokea Dar kuelekea Mbeya na bus la Sumry leo saa tano na alipofika check point ya Iringa alishuka kwenye bus na kutaka kuwapiga picha trafik polisi, ndipo alipokamatwa na kupelekwa kituoni na kuhojiwa.
Aliachiwa huru mida ya saa kumi jioni.
Source francisgodwinblog
Aliachiwa huru mida ya saa kumi jioni.
Source francisgodwinblog