KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mla rushwa kwenye taasis ya umma anapaswa kufukuzwa haraka
Hivi kumbe tbc ni taasisi ya umma eeh??? Pole jeri muro.Mla rushwa kwenye taasis ya umma anapaswa kufukuzwa haraka
Lakini yeye bado ni mtuhumiwa, Mahakama bado haijatia hatiani
hivi gazeti hili nalo linaandikaga habari za kweli au za udaku tu? ngoja tusubiri source zingine
Mkuu hii habari nimeipenda mno hebu endelea kushusha DATA mkuumuro alichezea pabaya,..mweka hazina wage michael alikwiba zile pesa kwa niaba ya ridhiwani&jk ukimjumlisha na celina kombani
Itakuwa poa sana halafu hao waarab wa QATAR wana pesa chafu ya mafuta hawatawezwa kuhongwa na mafisadi wa magamba...hivyo tutegemee mwisho wa tbc kama G SPORT VILEAl Jazeera wametangaza kazi akaribie humo...
<br />Jerry Muroo anavuna alichopanda, Nyodo alizoondoka nazo ITV/RADIO ONE, Zilishangaza, sasa yako wapi. . ! Kama aliamini TbC ni kimbilio ameumia. . Lakini mpeni pole zangu