Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Full Transcript!
-Azungumzia Shughuli za Wizi alizokua anazifanya Godbless Lema Kabla hajaingia Bungeni
-Jerry Muro: Lena jitoke ueleze kwenye miaka yako ya 30 ulikua unafanya nini tena wakati una 'dreads'? Zile kazi za usiku ushasema?
-Uteuzi wa Rais Magufuli Hufuata Vigezo Uteuzi wa Chadema Hufuata Manufaa Kuna Mbunge Kateuliwa Na mwenyekiti Mbowe ambaye Kamzalia Mbowe watoto Wawili.
-Jerru Muro: Eti CHADEMA mmekuja na sijui vifaa vyenu vya kunasa sauti toka nje. Mie ndiye niliyeweka rekodi ya kunasa trafiki wala rushwa.