Elections 2010 Jennister Mhagama wa peramiho kaikosea nini ccm!?

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...
 
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...
Labda.......you never know........like freemason like CCM
 
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...

Hivi uwaziri ni kitu cha kupewa tu? kama pipi. Mbona kuna wabunge wengi tu wamefanya kazi nzuri? mbona wako wengi wamefanikiwa kwenye kazi zao? wote "wapewe"?
 
CCM bana yaani utadhani timu ya waganga wa kienyeji..hivi zile nafasi za unaibu zilizo wazi usikute prof.maji marefu anakamata moja
 
Hivi uwaziri ni kitu cha kupewa tu? kama pipi. Mbona kuna wabunge wengi tu wamefanya kazi nzuri? mbona wako wengi wamefanikiwa kwenye kazi zao? wote "wapewe"?

Ok achilia mbali issue ya kupewa uwaziri. Vipi kuhusu zengwe walilomuwekea kwenye nafasi ya unaibu spika, unakubaliana na suala la kuleta uwiano wa kijinsia!?
 
Hivi uwaziri ni kitu cha kupewa tu? kama pipi. Mbona kuna wabunge wengi tu wamefanya kazi nzuri? mbona wako wengi wamefanikiwa kwenye kazi zao? wote "wapewe"?

Ok achilia mbali issue ya kupewa uwaziri. Vipi kuhusu zengwe walilomuwekea kwenye nafasi ya unaibu spika, unakubaliana na suala la kuleta uwiano wa kijinsia!?
 
Isingekuwa rahisi kumpitisha yeye kuwa naibu spika wakati yalishapendekezwa majina matatu ya wanawake ambao wote walikuwa wanawake,ndio maana baada ya kutajwa majina hayo wakaongeza muda wa kuchukua form kwa sababu aliyekuwa amechukua ni Jenister peke yake kwa hiyo lazima angeshinda tu unaibu kama cc isingepitisha wanawake wote kwa nafasi ya uspika.
Hopefully 2015 atapata,inshallah tuombe Mungu.
 
Hivi uwaziri ni kitu cha kupewa tu? kama pipi. Mbona kuna wabunge wengi tu wamefanya kazi nzuri? mbona wako wengi wamefanikiwa kwenye kazi zao? wote "wapewe"?

Ok achilia mbali issue ya kupewa uwaziri. Vipi kuhusu zengwe walilomuwekea kwenye nafasi ya unaibu spika, unakubaliana na suala la kuleta uwiano wa kijinsia!?
 
Pole mpwa wangu, umesahau kuwa Mhagama aligombana sana na Sophy? Umesahau ule ugomvi wao wa UWT? Sijui kama kweli ilikua source au kuna mtu/kitu walikua wanagombea!!

sasa jumlisha hapa hivi, Sophy si msafi na hakubaliki katika jamii kuliko Jenny, lakini Sophy kapita Jenny katupwa kabisaaaa, nini kinanchoendelea? Au Jenny kawa mchoyo? nani anajua!!!
 
shetani ni mchafu ziku zote na anafanya kazi na mapepo(majini) yake na wala hatafanya kazi na walio safi hata siku zote..watch out??
 
Wapo wengi tutakaojiuliza wameikosea nini CCM.....Hiki ni chama pekee duniani kinachoongozwa kwa nguvu za giza na mapepo!! Kama waliweza kuwaacha wasomi na watu wanaofahamika kwa kazi zao kama Dr.Mndolwa kule Korogwe na kumchukua mgannga wa kienyeji asiyejua kusoma wala kuandika, Maji Marefu...unadhani watashindwa kumtosa Jenista? Teytesi nyingine ni kwamba "hatoi ushirikiano" kwa mzee wa kaya!..
 
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...

Hili baraza tayari ni kubwa sana, na tunajua wengi sana wangependa wawemo akina Vicky etc. kama angewapa wote lingekuwa na watu labda 200, ingekuwaje?
Kwa hiyo hapo inabidi mchujo. kwahiyo Jenny hakupita!!:teeth:
 
What has she got to offer to we the people?

Acheni hizo......Siasa siyo mchezo wa pool! After all si aliomba kuwa mbunge? and I guess thats what she got! Sasa hayo ya uwaziri sijui nini yametoka wapi?

Jamani Tanzania siyo kampuni ya mtu binafsi...wote tuna haki sawa! Hii tabia ya kuona kwamba fulani kwa vile kafanya hiki anastahili hiki..si sawa. Alitimiza wajibu wake. Kama ailipewa uenyekiti wa kamati akafanya vyema..thats what exactly we wanted and hired her to do! Tatizo society yoyote ikishakuwa maskini..inakuwa inategemea mediocrity tuu! Imagine kiongozi anajenga barabara kwa kodi zetu na tunampongeza. Yet..tunasahau kwamba sisi ndo tulitoa kodi tukampa yule aijenge barabara..so alikuwa anatimiza wajibu kama wewe na mimi tulivyotimiza wajibu wetu kulipa kodi!

Tujifunze kuwa responsible tuache hizi cheap politics! For heavens sake tunaishi karne ya ishirini na moja!
 
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...


- Mkuu heshima sana, hivi katiba yetu inasema nini kuhusu kupewa u-Waziri? Kuna mahali imevunjwa na hii subject nini?

William.
 
Jennister licha ya "kutotoa ushirikiano" lakini inasemekana anaponzwa na elimu "ndogo" aliyonayo.Ana dip ya Ualimu tu.Na utaona kuwa kwa mkoa wa Ruvuma wabunge wetu wengi elimu zao ni za kishikaji.Nchimbi mwenye masters achilia mbali "PhD yake".Safari hii ameongezeka Ramo Makani Mhandisi.AU WANAJF elimu haina tija katika nafasi kama hii?Mana nakumbuka Mussa Nkangaa alikuwahi kuwa waziri licha ya kutokuwa na digrii.Pamoja na hayo Jenny katika jimbo hili la Peramiho anajitahidi kufanya kazi na kuwa karibu na wananchi ukilinganisha na wabunge wengine wa mkoa huu wa Ruvuma.John Komba anatumia muziki kuwavuta watu lakini jimbo lake wananchi wengi wana maisha magumu.Sukari kilo 3500/=
 
Jennister mhagama alifanya vizuri katika nafasi ya uenyekiti ndani ya bunge lililopita na aliendesha vikao vya bunge kwa mafanikio kuliko hata job ndugai na pengine kuliko hata anne makinda. Mhagama alikua mtu wa kwanza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya unaibu spika nami niliamini angepata nafasi hiyo bila wasiwasi. Ghafla nikasikia zengwe la jina lake kutaka kuondolewa, mara nikasikia ameondoa jina lake kwa kile kilichosikika kua ni kuleta uwiano wa kijinsia ambao hata hivyo umekuwa ukitafsiriwa ndivyo sivyo. Baada ya kuondoa jina lake nilitegemea angepewa uwaziri au unaibu waziri lakini cha ajabu nimeshuhudia sophia simba akipewa uwaziri wakati jennister mhagama akiambulia patupu. Swali ninalojiuliza ni kwamba JE JENNISTER MHAGAMA SIO MWANAMTANDAO!!!. I SUBMIT...
Mkuu

umenisikitisha... sikujua kama uwaziri ni zawadi wapeanazo ccm!!!
 
Back
Top Bottom