Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes of coz kwani wanazaa kwa uchungu piaWao ndo wameumbiwa mateso?
We mtu mbona akili yako mbovu ni kama yangu!Nina mashaka jlo kajinunulia pete mwnyw
Dah ama kweli yule MuhaYa yule muha mayweather aliyomvisha demu wake ilikuwa inacheza kwenye 12b za kibongo,demu alipozingua jamaa akaichukua.
Surgery mkuu
Mtoka jasho ni naniyes of coz kwani wanazaa kwa uchungu pia
siri ni kupiga lishe bora, piga tizi kwa viwango staili, acha kulala lala, lala kiwango cha kutosha, achana na stress, ishi happy life, achana na kunywa pombe hovyohovyo na usinywe pombe za hovyo, sio pombe ukiinywa asubuhi ukikata gogo, nyumba nzima inanuka, ukijamba harufu kali hadi unajichukia ujue hiyo sumu sio pombe.
hapana ni kikopo cha pete kimewekwa chini ila nimecheka balaaaaHuyo jamaa hiyo raba yake kama imeviringishwa hirizi
Ana miaka mingapi sasa hivi?
Nafikiri anachezs kwenye 43 su 44 hvAna miaka mingapi sasa hivi?
Nina mashaka jlo kajinunulia pete mwnyw
Kwelisiri ni kupiga lishe bora, piga tizi kwa viwango staili, acha kulala lala, lala kiwango cha kutosha, achana na stress, ishi happy life, achana na kunywa pombe hovyohovyo na usinywe pombe za hovyo, sio pombe ukiinywa asubuhi ukikata gogo, nyumba nzima inanuka, ukijamba harufu kali hadi unajichukia ujue hiyo sumu sio pombe.
Ana miaka mingapi sasa hivi?
Yupo kwenye 50 banaNafikiri anachezs kwenye 43 su 44 hv
Duuhh.Yupo kwenye 50 bana
Hmmmsiri ni kupiga lishe bora, piga tizi kwa viwango staili, acha kulala lala, lala kiwango cha kutosha, achana na stress, ishi happy life, achana na kunywa pombe hovyohovyo na usinywe pombe za hovyo, sio pombe ukiinywa asubuhi ukikata gogo, nyumba nzima inanuka, ukijamba harufu kali hadi unajichukia ujue hiyo sumu sio pombe.
Ana miaka mingapi sasa hivi?
Yap 50+Yupo kwenye 50 bana
Daaahh, utamu expired!Ana miaka 52 sasa