Na hakundondosha DNA zake hovyo hovyo. Kwa utajiri alionao angekua kaka zetu wa Afrika angekua na michepuko kila wilaya.
Angekua anakula raha kuliko watu wote duniani kama muheshimiwa mstaafu wa Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hakundondosha DNA zake hovyo hovyo. Kwa utajiri alionao angekua kaka zetu wa Afrika angekua na michepuko kila wilaya.
InawezekanaWivu
Nampataje huyu
Tayari mascammer wa naijeria mshaanza kumtamani🤣🤣Nampataje huyu
... hasa wewe!Kuna watu wangetamani wangekuwa yeye
Haaa haaaa 😂 naona umepewa banHiyo pua yake inafanana na ya baba yake kabisa!Ngoja nikaangalie pua ya binti yangu.
Rayvani hajamuona huyu?
Umenikumbusha mbali sana kisa cha Dodi Al Fayed na DianaDu Waarabu wa Misri wana mahesabu ya mbali, Al Fayed alimiliki Harrods duka la kifahari la Waingereza.
Zamani kama miaka 10 iliyopita, nilimsikia Bill Gate anahojiwa na BBC, alisema pesa ni ya kwake na siyo ya watoto wake. Yuko tayari kuwasaidia watoto kufikia malengo yao ya maisha lakini wasikae wakafikiri kuna maisha bila kufanya kazi.Mtoto wa tajiri mkubwa duniani mwenye uwezo wa kuhudumia vizazi vyake vingi vijavyo anapambana kusoma, tena fani ngumu....
Kuoa ni maendeleo mkuu, na kua na gari pia.Wabongo kuoa ni first option , ni prestige kuwa na watoto ,kwamba uzeeni watakusaidia .... Kwa wazungu ni tofaut kidog , wazungu wanaoa panapo nafasi , akishajijenga fresh , hata mtoto mmoja , wawili pouw .... Bongo sasa mtu akiwa na vifaranga kumi anaenda mbele ya media kujitangaza na kuomba wasamaria wema wamsomeshee watoto....kweli Tajiri na Mali , maskini na watoto
ningekua mm kila mtaa kungekua na chapa yangu, kwani bei gani?Na hakundondosha DNA zake hovyo hovyo. Kwa utajiri alionao angekua kaka zetu wa Afrika angekua na michepuko kila wilaya.