Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,374
Chuki zenu tu hakuna upigaji wowote ulioganyika wakati wa magu lbd wahuni hawakupata nafasi leo ndiyo wapata kusema. tumemsikia zungu wa nini sijui, akisema magu ni mwongo miaka yote yupo kapata nakauwaziri lkn hakushauri umuhimu wa mradi wa bagamoyo,mkijaza wahuni dizaini hii kwenye kada ya uongozi maendeleo msahau.Usitufanye watanzania wajinga.
Huu ni wizi wa mchana wa rasilmali za nchi.
Waziri mkuu yuko huko , hebu mwiteni aweke jiwe la msingi na tuone atakavyo mung'unya maneno kwa wizi huu.