Jengo la TANESCO Chato, kubwa kuliko la Wilaya Temeke lenye wateja milioni na nusu

Vipi na ujenzi wa hili jengo la hospital siyo ufisadi?
FB_IMG_1618256813992.jpg


Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
alifocuss mbali kwani chato itaendelea kuwa ndogo mpaka ln?huo ni uwekezaji mzuri baada ya miaka mitano au kumi chato haitakuwa ndogo bali itakuwa kubwa.
Kweli umewaambia ukweli, wenyewe wamakalia Dar- Temeke utadhani sehemu nyingine sio Tanzania
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.

YALIYOJIRI
Waziri Mkuu amekataa kupokea jengo la TANESCO huko Kyerwa, Kagera.
Waziri Mkuu kwa maslahi ya Tsifa tembelea jengo la Chato.
huo ni ukosefu wa mawazo chanya au uvivu wa kufikiri na mihemuko ya kisiasa hivi kwa akili ndogo tu huwezi kulinganisha mwaka 1961 temeke ilikuwa na watu wangapi na sassa hivi wapo hao milion + wataalamu kwakuliona hilo wakapiga maesabu ili wasijekubomoa kujenga lingine baada ya muda ijengwe lakudumu kukidhi matakwa ya miaka mingi mblele yaani chadema watakuja kututia hasara tu nchi hii maana hawaangali mbele wao wanaagalia sasa tu siasa zenu za maji taka
 
Hivi ile trillion 1.5 iliishia wapi? Huko sio kujilimbikizia mali kweli? Na vipi uwanja wa chato kujengwa na mayanga je kampuni ya mayanga haina interest za magufuli?
ulitaka mayanga akajenge wapi naye ana kampuni ya kujenga asiombe kazi kisa anajuana na jpm? stupid
 
View attachment 1944399

Jengo la TANESCO Chato, wilaya yenye wakazi 28,000 tu, ni kubwa kubwa kupitiliza.

Wilaya ya Temeke ina wakazi milioni moja na nusu, lakini hakuna jengo la kutisha na huduma inaendelea.

Hizo ndio zilikuwa sera za upendeleo maalum Chato, alizoanzishwa na Mwendazake na henchman Kalemani.

Kwa hili kwa kweli Kalemani ashitakiwe kwa uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka.

YALIYOJIRI
Waziri Mkuu amekataa kupokea jengo la TANESCO huko Kyerwa, Kagera.
Waziri Mkuu kwa maslahi ya Tsifa tembelea jengo la Chato.
chato ina wakazi elfu 28, angalia kwamakini hio takwimu yako mkuu
 
hii hospitali inaweza kuhudumia mpaka mikoa jirani mbona hamsemi kwanini wamejenga mloganzila nje ya mji wa dar kwanini wasiyajaze tu hapo muhimbili? mue mnarison kuwa chadema siyo kuwafanye kuwa hamna akili kiasihicho
Hao ni wajinga! Ukicheki chato kutoka mwanza ni zaidi ya kilometer 300 lakini kutoka kasulu, kibondo ,karagwe ,bukoba na kutoka geita watu ni wengi sana sio chini ya milioni nne wanaishi geita, kagera na kigoma ya kibondo,kakonko, na kasulu kwa hiyo hiyo hospital iko sawa kabisa kukaa hapo! Kwa nini hawahoji mloganzila kujenga karibu na dar ambayo in hospitable tayari ya muhimbili na hospital za wilaya ukiachilia mbali hospital binafsi na wakazi wa Dar wako miliom 5 au sita! Nyie CHADEMA acheni upumbavu kuishi dar sio kuwa wewe ni binadamu na unahitaji special treatment! Watu wengine mnadanganya humu kuwa chato ina watu 28,000 wakati sensa inaonesha mwaka 2012 chato ilikuwa na watu 350,000!
 
Alafu kingine usije ukaona jengo kubwa hilo basi ukajua kuna fedha kubwa imetumika,hapo ni just value for money tu.

Usikute bajeti ya hapo ni sawa na ile iliyoenda kituo cha Tanesco kagera sema eneo moja limepigwa ufisadi eneo lingine liko huru na mikono ya ufisadi.

Ni katika awamu hii ya Magu ndio tumeanza kuona majengo mengi ya serikali na uma yakija katika muonekano wa kisasa.mfano hospitali,masoko,ofisi za wilaya na kadhalika.
Hivi wewe kumbe ni mruguru ndo maana mmehamishwa mjini hapo morogoro, akili hizi unatememea mtakuwa nalakufanya hapo endeleene kukaa huko milimani kama ngedere!
 
Hao ni wajinga! Ukicheki chato kutoka mwanza ni zaidi ya kilometer 300 lakini kutoka kasulu, kibondo ,karagwe ,bukoba na kutoka geita watu ni wengi sana sio chini ya milioni nne wanaishi geita, kagera na kigoma ya kibondo,kakonko, na kasulu kwa hiyo hiyo hospital iko sawa kabisa kukaa hapo! Kwa nini hawahoji mloganzila kujenga karibu na dar ambayo in hospitable tayari ya muhimbili na hospital za wilaya ukiachilia mbali hospital binafsi na wakazi wa Dar wako miliom 5 au sita! Nyie CHADEMA acheni upumbavu kuishi dar sio kuwa wewe ni binadamu na unahitaji special treatment! Watu wengine mnadanganya humu kuwa chato ina watu 28,000 wakati sensa inaonesha mwaka 2012 chato ilikuwa na watu 350,000!
mkuu umeeleza vizuri sana waache upumbavu wao
 
hii hospitali inaweza kuhudumia mpaka mikoa jirani mbona hamsemi kwanini wamejenga mloganzila nje ya mji wa dar kwanini wasiyajaze tu hapo muhimbili? mue mnarison kuwa chadema siyo kuwafanye kuwa hamna akili kiasihicho
Sawa mkulima wa Chato, mheshimiwa, tunarison!
 
Mji wa Chato una wakazi 27,7776.

Mji wa Chato una wakazi 27,7776.

Mji wa Chato una wakazi 27,7776.
Hapana
Mji wa Chato una wakazi 27,7776.
Ukweli wa upendeleo uliokithiri unafunuliwa na wananchi.
Ajabu TAKUKURU nao walitaka kujenga jengo kubwa CAHATO muheshimiwa akakataa!
 
Back
Top Bottom