Hehe..ukiacha kupumliwa kisogoni ndo utajua kwamba serikalini hakuwawa na mtu aitwaye Bashite, yote na yote, yeyote alomshauri JPM kutuongoza vile sisi watanzania tulimpenda na yeyote afanyaye kinyume ajiandae maana yajayo yanafurahisha.
Pana mantiki hapa!REGACY kama REGACY yaani, lile jitu tulisema lilikuwa jendawazimu watu wakashupaza shingo matokeo yake ndio hayo, likaamua kubomoa kule ili likajenge kwao Mungu si athumani akaingilia kati fasta sasa tunapumua kwa amani kabisa japo miamala inabana
Hivi, tukipata tena Rsis kichaa, akamua kuliamuru jeshi kupiga mabomu sehemu fulani zanchi, hii itakuwaje?Alikuwa na roho ya uharibifu
Hayo yakipewa pesa ya kula na wakayachezea ma Ashakumu yanaona yamemaliza.Haa Haa
Msechu Aliimba Nguzo Yetu Imara Imeanguka
Kwenye Kifo Cha Mzilankende
Hayo yakipewa pesa ya kula na wakayachezea ma Ashakumu yanaona yamemaliza.
Hakika umenena,halafu yananenepa Kama sanamu la micheliniYana Demka Kama Midoli
Yule Mwendazake alikuwa kichaa na alikiri mwenyewe mwaka 2017 akiwa Mkoa wa Mara alipokuwa anamsififia Luhaga Mpina aliyekuwa Waziri wa uvuvi kuwa "nimekuchagua wewe kwa kuwa ni kichaa kama mimi".Kinu cha kuzalisga umeme kutokana na gesi ,42MW pale Ubungo kiko ndani ya mita 100, sijui kwa nini hakikubomolewa!
Na hili ndio tatizo kubwa.Yule Mwendazake alikuwa kichaa na alikiri mwenyewe mwaka 2017 akiwa Mkoa wa Mara alipokuwa anamsififia Luhaga Mpina aliyekuwa Waziri wa uvuvi kuwa "nimekuchagua wewe kwa kuwa ni kichaa kama mimi".
Kichaa anaweza kufanya lolote wakati wowote
watasifu sana tu kama lile jendawazimu lilivyosema litawapiga shangazi zake diblo dibala , na lidiblo lenyewe likawa linakenua meno tu kama zuzu flani hiviHivi, tukipata tena Rsis kichaa, akamua kuliamuru jeshi kupiga mabomu sehemu fulani zanchi, hii itakuwaje?
CCM na watu watashangilia tu?
Unao waambia akili wanazo na macho wanayo na mama kasema viatu ni saizi kubwa.yy atatumia vya kwake.Magufuli hafikii hata robo ya alichokifanya mzee Mkapa sembuse Nyerer ?
Huo ulikuwa ni mzaha tu,walioishika ofisi kuu ya nchi wanaujua alicho maanisha,Na hili ndio tatizo kubwa.
Na kwa kweli CCM imetutendea si hski kutuletea kiongozi mwenye mapungufu ambayo hayana tija kwa Taifa.
Hili linaifanya CCM kuwa gulio tu la viongozi wengine wenye matatizo makubwa.
Akili na macho yako unayatumia vyema.Mwangosi alikufa wakati wa kikwete, dr Mvungi aliuawa wakati wa kikwete,dr Ulimboka alitekwa na uonekana magwepande wakati wa kikwete! Lakini hawa wapumbavu kila siku wanaongelea Magufuli hawajui kuwa serkali sio mtu mmoja ni system! Na kwa taarifa yao wakati wa Kikwete wamekufa watu wengi sana ukijumuisha matukio ya uchomaji makanisa, mashambulizi ya padri kule zanzibar,na mlipuko wa mabomu kule Arusha! Ila kwa vile wanachuki na Magufuli utawasikia kila mda wakimtaja kana kwamba tawala zingine hazikuwa na matukio!
Magufuli hamfikii hata JK ila wanaomuabudu watabisha kama kawa. Marais waliomtangulia Magufuli hawakuwa na hulka ya kulazimisha SIFA kama Magufuli.Magufuli hafikii hata robo ya alichokifanya mzee Mkapa sembuse Nyerer ?
Yule mwehu alikuwa na ubabe wa Kishamba Sana na ulimbukeni wa madaraka!Mpaka leo sielewi kwa nini hili jengo lilibomolewa.
Nimefika hata nchi za nje, barabara inakatiza hadi katikati ya jengo, na jengo hili hata kwa barabara iliyopo Ubungo haijafikia liliko jengo lililobomolewa.
Kama si uhujumu sijui?
Mi nachokoza tu, wataalam tuambieni!
View attachment 1991013
Haya mambo wananchi hatuwezi kukubali kirahisi kodi zetu zikachezewa.Yule mwehu alikuwa na ubabe wa Kishamba Sana na ulimbukeni wa madaraka!
CCM ilielezee hili ama sivyo huko mbele tutspata Rsis atakaye amuru jeshi kupiga mabomu ofisi za wapinzani na wanaompinga.Haya mambo wananchi hatuwezi kukubali kirahisi kodi zetu zikachezewa.
Hata leo Serikali kupitia wizara husika na itoe tamko la kwa nini jengo lile lilivunjwa, mali ya wananchi.
Kimsingi kufuja mali, iwe ya serikali au mtu binafsi kwa nia ovu ni jinai.Kisheria ilikuwa sahihi kulibomoa au alivunja sheria?
Hili nalo neno, halafu tunajidai tuna bunge la checks and balance!Yule mwehu alikuwa na ubabe wa Kishamba Sana na ulimbukeni wa madaraka!