Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Nchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.
Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango yao kwa nyoyo zao.
Nataka kujua, huyu msaliti mkubwa anafikiri kufanya hivyo ndiyo njia ya kukisaidia CCM kibaki madarakani? Anafanya hivi ili iweze kumsaidia kitu gani yeye na familia yake? Bila kuwa DC ana nguvu ya kufanya huu upuuzi anaoufanya? Ni Wilaya ngapi nchi hii kuna ofisi za CHADEMA?
Huu USabaya una mwisho wake na Nassari usijione kiburi hutoachwa ni swala la muda tu. Leo hapo ulipo unavimba kwa sababu ya CHADEMA na wala hakuna ambaye angekuja wewe.