Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Jengo la Kanisa KKKT Mbezi Beach limefunguliwa leo katika ibada ya jumapili asubuhi.
Kwa sasa hivi jengo hili linaaminika kuwa ndio linashikilia rekodi ya jengo kubwa la kanisa kuliko yote Afrika Mashariki.
Kutokana na habari katika misa hiyo ujenzi wake umetokana na michango wa waumini wenyewe , bila kupata msaada toka nje ya nchi.
Misa iliongozwa na Baba Askofu Malasusa akisaidiwa na Baba Askofu Mushendwa na Baba Askofu Dr Mwakabana.
Waziri Mkuu Mstaafu F Sumaye na Mama Mkapa nao walishiriki misa hiyo.
Kwa sasa hivi jengo hili linaaminika kuwa ndio linashikilia rekodi ya jengo kubwa la kanisa kuliko yote Afrika Mashariki.
Kutokana na habari katika misa hiyo ujenzi wake umetokana na michango wa waumini wenyewe , bila kupata msaada toka nje ya nchi.
Misa iliongozwa na Baba Askofu Malasusa akisaidiwa na Baba Askofu Mushendwa na Baba Askofu Dr Mwakabana.
Waziri Mkuu Mstaafu F Sumaye na Mama Mkapa nao walishiriki misa hiyo.