EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Saa 3 zilizopita
Jengo la ghorofa huko Gaza ambalo limeripotiwa kuwa na ofisi ya Hamas limeanguka katika shambulizi la angani lililofanywa na Israeli. Katika kulipiza kisasi wanamgambo huko Gaza walifyatua makombora kuelekea mji wa Israeli wa Tel Aviv. Kuongezeka kwa mashambulizi kunaniri baada ya siku za kadhaa za machafuko katika eneo hilo.
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Chanzo: BBC
Jengo la ghorofa huko Gaza ambalo limeripotiwa kuwa na ofisi ya Hamas limeanguka katika shambulizi la angani lililofanywa na Israeli. Katika kulipiza kisasi wanamgambo huko Gaza walifyatua makombora kuelekea mji wa Israeli wa Tel Aviv. Kuongezeka kwa mashambulizi kunaniri baada ya siku za kadhaa za machafuko katika eneo hilo.
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Chanzo: BBC