Kukiwa na serikali 3 means kila bunge litakuwa na jengo lake kujadili mambo yake na hili la Dodoma kwa vyovyote lazima liwe la Tanganyika je la shirikisho litajengwa wapi? Maana la dodoma ni kubwa hivyo bunge la shirikisho haliwafai maana watakuwa 75+ makundi maalum hawatazidi 80