Kwenye project ya river estate sasa ndio wanamalizia kufence upande wa kwenye mtoo na kubomoa nyumba moja iliyokua imebaki kwenye siteNSSF site hapo GPO ni kama kuna kitu inaendelea.....hapo ndio kulikua kujengwe building ya floors 61... noma sana...kwa sasa iko fenced alreadyView attachment 1772672
Hawa jamaa lazima waanze kujenga majengo ya kwenda juu maana wenye nchi washagawana ardhi yote.Jengo hili ndilo litakuwa tallest residential tower in Africa. Yaani jengo refu zaidi ya makaazi Africa. Kuna watu watakuwa wakiishi kuanzia floor ya chini hadi ya juu kabisa ya 44.
Jengo lenyewe litafanana hivi litakapokamilika
Video ya zege kumwagwa kwenye foundation ndio hii
Thanks for the updateSince the last updates they have added one floor View attachment 1802761
Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
which project is this sevenup ? And is the tower seen here raising among those rendered towers??Not a clear picture but some activities in site.....one excavator and some workers in site tooView attachment 1802743View attachment 1802744
Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
It's river estate project in Ngara area,an eight block apartments with 34 stories each and it's on excavation stage.... more renderswhich project is this sevenup ? And is the tower seen here raising among those rendered towers??
Wow. This is a massive project.It's river estate project in Ngara area,an eight block apartments with 34 stories each and it's on excavation stage.... more rendersView attachment 1802868
Sent from my LAVA_R1 using JamiiForums mobile app
Vitu vya kawaida sn, alafu wewe njoo kule kwenye thread yetu pendwa unahitajika kule, kuna mTz ameamua kufanya kazi uliyosema utaifanya endapo Wakenya watakutibuaHii technology wanayotumia nadhani ni mpya hapa EA. Simiti wanayotumia inakauka haraka sana so hakuna kupoteza muda.
Umeukimbia uzi wako wa umeme.
By the way kwa taarifa yenu wapendwa, zege linamwagwa 24/7 usiku na mchana hadi litakapofikia mita tatu kwa urefu bila kukoma. Foundation yake itakuwa ni mita tatu ya zege tupu na reinforced steel. Hii ni American standard of construction which is the best standard of construction. Kimo cha foundation kwa hivyo sio lazima ichimbwe deep sana ila jengo lenyewe litakuwa stable kabisa maana American standard ndio the best kwa kujenga majengo stable na strong. Tazameni video kwa maelezo zaidi. Anzia 4:20 maana mwanzoni kuna maongezi ambayo hayana maana.
Achana na media, kwani ni burj khalifa hiyo? 😂 BTW, are you referring to Kshs or Tshs??? 🤔A one-bedroom unit will be leased at Sh480,000 a month, according to media reports.
MBONA MAJENGO YETU YALIPOKUWA JUU KULIKO YENU KABLA YA MIRADI HII MIPYA NYIE HAMKUJA KUSHANGAA KWETU? ACHA UMBEA.Majirani msiende kushangaa Ulaya, njooni huku mtayaona ya kule.
Just in .Confirmed from reliable source ksh 480000 per month. Shy short of half a million kenya shillings.Achana na media, kwani ni burj khalifa hiyo? 😂 BTW, are you referring to Kshs or Tshs??? 🤔
media wanapandisha majotro.Achana na media, kwani ni burj khalifa hiyo? BTW, are you referring to Kshs or Tshs???