Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,149
- 1,703

Mimi ningependa kusikia hoja za mtu YEYOTE YULE tafadhali, anayeweza kueleza huu umati sababu za kugharamikia ma millioni ya fedha ili kujenga hili jengo la kifahari!
Sawa tutalalamika, lakini nakataa kukubali kwamba viongozi wetu ni wajinga, na wabinafsi kwa kiasi kile ambacho sisi humu ndani tuna waelezea! Hivyo basi natoa wito kwa yeyote yule aje na ku justify this one move by the government. (Ila hii ilipitishwa wakati wa BWM)
fikiraduni, mzee wa kuangalia pande zote, pande ya pili ya hii kitu ni nini? Viongozi hawawezi kuwa wanyama hivi!
Inauma sana kwasababu hospitali hapo hapo siko hivi...
