Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,377
Akihojiwa na Wasafi Media Mzee Ulimwengu amedai kwamba , Waziri Mkuu wa Wakati ule Joseph Warioba na Msaidizi wake Charles Kileo ndio walimfuata na kumuomba awe DC , hakuomba hiyo kazi, Hii maana yake ni kwamba hakwenda hata kwa Mganga kuloga kama wafanyavyo wateule wa sasa .
Anadai baada ya kuwakubalia akapelekwa Hai , 1990 akaletwa Ilala na baadaye Singida .
Toa maoni yako
Anadai baada ya kuwakubalia akapelekwa Hai , 1990 akaletwa Ilala na baadaye Singida .
Toa maoni yako