Jenerali Ulimwengu-"Siasa ni maisha na hakuna maisha bila siasa hivyo kutenganisha siasa na maendeleo ni ujinga kwa kuwa kutajenga jamii butu

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
"Siasa ni maisha na hakuna maisha bila siasa hivyo kutenganisha siasa na maendeleo ni ujinga kwa kuwa kutajenga jamii butu"Jenerali Ulimwengu. #KwanzaHabari
FB_IMG_1541525385237.jpg
 
Jenerali Ulimwengu ni mmoja kati ya binadamu Wanafiki kuwahi kuishi Dunia hii, wakati anaandika Makala zake za gazeti la Rai alikuwa big fan wa military Dikteta Park wa Korea Kusini, ambaye alipindua Serikali ya kidemokrasia na kutawala Korea Kusini kwa mkono wa chuma, tena kuonyesha huyu Mzee alivyokuwa mnafiki alikuwa anakwenda mbali na kusema Afrika ili iendelee inahitaji military dikteta kama Park, leo hii baada ya kushiba kisusio anakuja kuanza kuongela demokrasia, what a hypocrite, ndo maana Mzee Mkapa alimpiga bomba!
 
Jenerali Ulimwengu ni mmoja kati ya binadamu Wanafiki kuwahi kuishi Dunia hii, wakati anaandika Makala zake za gazeti la Rai alikuwa big fan wa military Dikteta Park wa Korea Kusini!
Leta hata makala moja tu kuthibitisha madai yako!!
 
Jenerali Ulimwengu ni mmoja kati ya binadamu Wanafiki kuwahi kuishi Dunia hii, wakati anaandika Makala zake za gazeti la Rai alikuwa big fan wa military Dikteta Park wa Korea Kusini, ambaye alipindua Serikali ya kidemokrasia na kutawala Korea Kusini kwa mkono wa chuma, tena kuonyesha huyu Mzee alivyokuwa mnafiki alikuwa anakwenda mbali na kusema Afrika ili iendelee inahitaji military dikteta kama Park, leo hii baada ya kushiba kisusio anakuja kuanza kuongela demokrasia, what a hypocrite, ndo maana Mzee Mkapa alimpiga bomba!
Nilikuwa nafatilia makala zake, sema kuna lengo kuu hakumuelewa vizuri.

Jaribu kuniambia utangulizi wake. Usiseme mwisho.

Tatizo watanzani tunasoma mwisho wa mada
 
Jenerali Ulimwengu ni mmoja kati ya binadamu Wanafiki kuwahi kuishi Dunia hii, wakati anaandika Makala zake za gazeti la Rai alikuwa big fan wa military Dikteta Park wa Korea Kusini, ambaye alipindua Serikali ya kidemokrasia na kutawala Korea Kusini kwa mkono wa chuma, tena kuonyesha huyu Mzee alivyokuwa mnafiki alikuwa anakwenda mbali na kusema Afrika ili iendelee inahitaji military dikteta kama Park, leo hii baada ya kushiba kisusio anakuja kuanza kuongela demokrasia, what a hypocrite, ndo maana Mzee Mkapa alimpiga bomba!
Tatizo kwa jiwe siyo udikiteta. Tatizo strateji za maendeleo zimemushinda ndiyo maana watanzania wanalalamika. Ingekuwa uchumi unakuwa vizuri angekuwa anapendwa mno na wabongo.
 
Nilikuwa nafatilia makala zake, sema kuna lengo kuu hakumuelewa vizuri.

Jaribu kuniambia utangulizi wake. Usiseme mwisho.

Tatizo watanzani tunasoma mwisho wa mada


Makala zote alikuwa anaandika kuhusu huyo Military Dikteta wa Korea Park, tena alikuwa anamuita kwa jina la kiingereza benevolent dictator, na kwamba ili Afrika tuendelee tulihitaji Dikteta kama Park, na hata kwenye kipindi chake cha Jenerali on Monday kilichofutwa labda pia kwa sababu ya unafiki wake pia alikuwa anarudia kumhusu huyo Dikteta, leo hii anajifanya kuongelea kuhusu demokrasia? WTF?
 
Tatizo kwa jiwe siyo udikiteta. Tatizo strateji za maendeleo zimemushinda ndiyo maana watanzania wanalalamika. Ingekuwa uchumi unakuwa vizuri angekuwa anapendwa mno na wabongo.


Lkn huyo Mzee ni mnafiki hapaswi kuongelea demokrasia leo hii wakati alikuwa big fan wa military dictators!
 
Lkn huyo Mzee ni mnafiki hapaswi kuongelea demokrasi leo hii wakati alikuwa big fan wa military dictators!
Nilikua nafutilia sana enzi zile akiandikia gazeti la Rai na makala zake za kila wiki za Rai Ya Jenerali, alikua akichambua kwa umakini, umahiri na akili ya hali ya juu

Alikuja kunichanganya na misimamo yake baada ya kua amefanya ziara Ethiopia wakati wa utawala wa Waziri Mkuu marehemu Melesi Zenawi(Picha anayotumia Kipara Kipya kama avatar). Aliporudi, Jenerali Ulimwengu akaanza kusifia maendeleo makubwa ya ujenzi wa miundombinu yaliyofanywa na serikali ya Ethiopia pamoja na kummwagia sifa lukuki PM Zenawi

Jenerali hakugusia kabisa kile kinachoitwa udikteta wa Melesi Zenawi pamoja na kelele zote za ndani na nje ya nchi hiyo ikiwa ni pamoja na raia wake kuikimbia nchi kwa njia za hatari. Sasa hivi namsikia sana akikosoa maendeleo ya miundombinu yasiyoambatana na demokrasia kama ilivokua kwa Ethiopia ya Zenawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom