Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
I agree 100%.
Hata Nyerere alimsapoti Mkapa. Lakini kwa mambo aliyoyafanya Makapa sidhani kama Nyerere angekuwa hai angeendelea kumsapoti!
Only fools will never change their minds!
Wewe unadhani Nyerere kwa Mkapa hakukosea? Nakwambia hata yeye alikosea kosa la wazi. Sawa na Jenerali. Sijui haya ni makosa ya wana SISI M wote? may be kwao jicho kipofu uliita kengeza.