Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,125
This comparison is irrelevant and can't be termed as a quote from somebody who is a great thinker!
"...kwa dunia nzima vyakula vina thamani kuliko wanasiasa..." Na hapo ndo tulipofika!Anachojaribu kusema Ulimwengu ni kuwa kwa Tanzania mbuzi ana thamani kuliko mwanasiasa.Lakini hiyo ni kwa dunia nzima vyakula vina thamani kuliko wanasiassa ndio maana kila nchi ziko mamlaka kibao za kusimamia ubora wa vyakula na uthibitisho wa ubora Kama TFDA,TBS nk kabla kuingia sokoni lakini hakuna mamlaka ya kusimamia ubora na viwango vya mwanasiasa popote duniani kuwa kabla kugombea kuwe na TBS au TFDA au ISO ya kuthibitisha ubora wake .Ndio maana hata migaidi inaingia kugombea baadaye inafunguliwa kesi
Atuombe samahani watanzania kote duniani ni hivyo