....Hebu mmoja kati yetu aliyeona au kuskia serikali ya wababe inayoachia madaraka kwa hiari, na kuwapa "wazalendo" waongoze, ataje apa? Then tunaweza kuongelea swala la team manager kustep down, na refarii (sjui apa atakua nan sasa) kuingia na kusema sasa unaharibu! Tunachoona kama ilivosemwa apo juu, ni kwa walioanzishiwa chama kuwa sidelined, na wenye misuli... wakiwa-assimilate na wana familia wao wachache-ku-grab kila kinachoonekana kunukia vema, huku yale makapi (t-shirts, kofia, na bendera) wakiwaachia wenye stahili!
THINK ABOUT IT, AND THINK HOW YOU ARE CONTIBUTING TO THEIR continuity!
THINK ABOUT IT, AND THINK HOW YOU ARE CONTIBUTING TO THEIR continuity!