Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,278
- 7,953
Unaona eeh, Mwendazake alitishia vyombo kiasi hata gazeti au TV isingeweza kurushaWakati wa jiwe angezumgumza kupitia chombo gani?
Unaona eeh, Mwendazake alitishia vyombo kiasi hata gazeti au TV isingeweza kurushaWakati wa jiwe angezumgumza kupitia chombo gani?
Wewe kichwa chako umewahi kutoa mawazo gani ya maana. Nafuu Mimi nafugia nywele kuliko wewe ambaye kichwa chako kimekuwa msukuleHicho kichwa endelea tu kufugia nywele maana hakina matumizi mengine
We ni PIMBI sanaWewe kichwa chako umewahi kutoa mawazo gani ya maana. Nafuu Mimi nafugia nywele kuliko wewe ambaye kichwa chako kimekuwa msukule
Hujui historia ya ulimwengu wewe.Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
ukiamua kumchafua mtu, weka hoja zenye mantikiJe, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
huna akili kwelikweli Ila ubongo unaoMkapa ile kampeni timu yake ya 1995 wale wengi wa karibu aliwatema live na hapo ndo bifuu kuubwaaa mkapa alilopata toka kwa hao akina jenerali na wenzie.
kwa hiyoo jenerali hakutegemea kabisa kutoswa kivile mpaka akaanzisha makala kali za kuukosoaa sana utawala wa BWM...
JK kuingia mwanzoni akaanza kumpamba, nanukuu ''Kwa mara ya kwanza tumepata kiongozi anayekemea rushwa kwa uwazi kabisaa''. (maneno ya jenerali hayo kwa Jk)
Gafla akagundua jamaa walaa sio kama anavyofikiriii....hapo alitambua nguvu za akina RA dhidi ya mkuluu na mtandao kwa ujumla ambao Jenerali hawakumwihitajiii...
yeye, salva, shoo wakaparaganyika na RA kiulainiii akainunua HCL na kuiweka chini yake huku salva akielekea ikulu, shoo mtaani lakini akipata chapuo za kazi toka kwa RA kupitia salva...
Jenerali kwa sasa anasoma ramani upya atokee vp ila yupoo makinii asikanyage miiba mapemaaa..kile kibano cha uraia hatasahauu..
HABARI NDO HIYOOOOOOO..
Na wewe unamitukia nani kwani..?Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
.
RA ni Nani?huna akili kwelikweli Ila ubongo unao
.Dada kaa kwa kutuliaView attachment 2008525
Jenerali Ulimwengu ni senior citizen (raia mwenye umri mkubwa). Na uzee siku zote ni dawa, kaona mengi kajifunza mengi, ni mwanahabari mkongwe.Je, kweli Jenerali Ulimwengu anawatumikia watanzania kama vile alivyokuwa Habari Corparation, Chanel na sasa yupo gazeti la Raia Mwema, au tuseme sasa anamtumikia mwanasiasa mmoja aliekuwa maarufu?
Nasena hivyo hasa baada ya miaka ile alikuwa ni mmoja ya waandishi waliokuwa wanafichua maouvu mpaka kufikwa kufukuzwa nchini lkn sasa tunamuona amegeuka kabisa, anawapamba mafisadi
Nyerere alikuwa mahiri katika kuwapeleka vijana wake kwenye mafunzo ya kijasusi, siku hizi vijana mahiri ni akina Jokate 'kidoti' na akina Niki wa Pili.Chuma, halafu kuna nyingine alikuwa na Samora Machel. Huyu jamaa nahisi alikuwa mafia wa hatari sana enzi ya Nyerere
Billion dollars question.Wakati wa jiwe angezumgumza kupitia chombo gani?
kua na adabu BasiJenerali yuko overrated tu hana lolote la ajabu. Wakati wa JPM miaka yote 5 aliufyata kama mjinga kwa vile alijua yule kichaa Mwendazake anaweza mpoteza. Sasa ameanza chokochoko kipindi cha Mama ili aonekane kuwa naye yupo.
Ila kiukweli nchi imefika pabaya.Nyerere alikuwa mahiri katika kuwapeleka vijana wake kwenye mafunzo ya kijasusi, siku hizi vijana mahiri ni akina Jokate 'kidoti' na akina Niki wa Pili.
Umenena vyema. Ila kuna kitu kinanitatiza. Ndugu yetu Paskali yeye hana hiana, anaunga mkono pande zote mbili. Zile zinazoungana na mtoa hoja na zile zinazopingana na hoja hii. Kulikoni Paskali.Kitila ameuliza swali, "kivipi?" hajajibiwa watu wanaanza kujadili hewa. Wanajadili mambo mengine kabisa na mtoa hoja kapotea. Nadhani hapa si mahala pake na mada iliyowasilishwa hapa na MzeeWaHoja haina mashiko kwa sababu nilitarajia ataweka angalao "Rai ya Jenerali" ya wiki hii ama ya wiki iliyopita akaichambua, ama akaja na story ama makala ya gazeti la Raia Mwema, inayolinda mafisadi angeeleweka.
Mimi nadhani kachanganya kati ya Rai na Raia Mwema na kama hivyo ndivyo, sioni sababu ya kuendelea na hii thread tukapoteza muda
hujui kitu, watu gazeti ka rai linamtukana salim ,likishatika mikononi mwa jenerali, habari corp ilinunuliwa jumla na wanamtandaoSina imani naye hata kidogo tokea gazeti lake la Rai kwenye kampeni ya 2005 limchafue Salim na kumpamba JK na wengi walioshiriki walibarikiwa kupewa vyeo!! sio bure na siku hizi gazeti lake hili Raia limebadilika siyo lile la mwanzoni yetu macho!!!
Kitila kumbe huwa yumo humu!Kivipi?